Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,646
- 21,863
Tuko pamoja mkuu, kama upo dsm tufahamiane ndgu yangu.Week inayoanza kesho ndio itaamua what am gonna do for lifing.
Tuko pamoja mkuu, kama upo dsm tufahamiane ndgu yangu.Week inayoanza kesho ndio itaamua what am gonna do for lifing.
hata kufyatua tofali?Usichague kazi ilimradi mkono unaenda kinywani
Kazi ni kazi murahata kufyatua tofali?
Mitano Tena ..iko HV leo ktk kituo Cha mawasiliano pale ubungo nimekutana na kijna ambaye amezoma na kumaliza vxr koz ya Bsc IEM. Bachelor of industrial and engineering Management kamaliza mzumbe .kazi anayo fanya Ni kupasua kokoto ilimradi tu alipwe elf mbili au elf tatu kwa kazi hyo ya kupasua kokoto ..nilimuonea huruma ila ckuwa la kufanya nilimpa mbinu na kupamabana Zaid..hali Ni mbaya Sanaa vijana wanateseka mno HV juz niliibiwa battery ya gar scaniaa
dah life hili IT mpaka bodabodaDah noma sana ,kuna jamaa alisoma Degree ya IT ,Ni utingo wa gari za mchanga au sometime anaendesha bodaboda anakula deiwaka.
hata kufyatua tofali?
Tumia akili kiroho ufanikiwe kimaisha...Mchumba wangu aliniambia ' Kwanini unaishi kimaskini...?
Leo napo mshkaji wangu kaniambia ' We jamaa mbona unaishi kimaskini sana..?
Wote hawajui km mie n jobless..
Hizi kauli zinaumiza sana roho, unajikuta unajuta hadi kuzaliwa..
Jobles wote, Mungu atuandalie makazi mema huko mbinguni, maana dunia ni jehanam yetu
dah life hili IT mpaka bodaboda