Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Nyie wote humu mnatania...Sijaona introvert humu
Mimi nimejifungia ndani Sijaona jua mwezi wa nne huu kuna jamaa wa sokoni ndo namtumaga groceries, vocha n.k hata yeye akija simfungulii mlango yani hata sura hanijui(namba yake nilipewa na mama) kuna kipindi jamaa aliugua nilikaa wiki nzima bila kula nusra nife
Daah nahisi ntaozea humu
Mimi nimejifungia ndani Sijaona jua mwezi wa nne huu kuna jamaa wa sokoni ndo namtumaga groceries, vocha n.k hata yeye akija simfungulii mlango yani hata sura hanijui(namba yake nilipewa na mama) kuna kipindi jamaa aliugua nilikaa wiki nzima bila kula nusra nife
Daah nahisi ntaozea humu