stritglow
JF-Expert Member
- Apr 7, 2018
- 622
- 1,751
Kwenye mahusiano kuna changamoto nyingi sana, na moja ya changamoto hizo ni mpenzi wako kukusaliti a.k.a ku-cheat...
Kuna wengine wanaweza wasamehe au wasisamehe ila ndo watavunja mahusiano moja kwa moja, ila kuna wengine watasamehe na kumpa second chance huyo mpenzi wake.
Je kwa wale ambao walishawai kukumbana na kadhia hiyo na kuamua kusamehe na kumpa second chance mwenza wao, ni nini kiliwafanya uamue hivyo?
Uliweza kujifunza kumwamini tena? Na mahusiano yenu yalikuwaje baada ya hilo, au mahusiano yenu yakoje mpaka sasa?
Kuna wengine wanaweza wasamehe au wasisamehe ila ndo watavunja mahusiano moja kwa moja, ila kuna wengine watasamehe na kumpa second chance huyo mpenzi wake.
Je kwa wale ambao walishawai kukumbana na kadhia hiyo na kuamua kusamehe na kumpa second chance mwenza wao, ni nini kiliwafanya uamue hivyo?
Uliweza kujifunza kumwamini tena? Na mahusiano yenu yalikuwaje baada ya hilo, au mahusiano yenu yakoje mpaka sasa?