Ulifanya vizuri sana,Nilimpigia bae, nkamuambia "na baridi hii tunafanyaje?" akajibu "chukua jembe ukalime" sikwenda mbali nilienda jirani tu na nyumban
Kila mtu anakuwa na sababu zake pale anapocheat, wengine za ukweli, wengine za uongo.
Kwahiyo kwa wale ambao walishawai-cheat ni sababu gani ilikupeleka kufanya hivyo, if we are being honest?
Au anakwambia unawaza ngono tu,maendeleo utafanya saa ngapi hapo hapo anakuwa amenifungulia mlango wa kuchepukaWe kila siku unataka bhanaa,
Nikaenda kwa wasiochoka
Nanafua...Upweke
Mwanaume asiye na mchepuko ni tahira huyo aiseeMwanamme hawezi kuwa na demu mmoja hata siku moja na kama yupo basi huyo atakuwa na matatizo ya akili au kuwa katika kundi la wanaume wa Dar (wasio na nguvu za kiume/mashoga). Si porini kwa wanyama, baharini kwa samaki, au hapa ardhini kwetu...mwanamme anasambaza mbegu na mwanamke ndiye aleae. Kiufupi, ninacheat kwa sababu wanawake wenyewe wananiomba niwashughulikie na mimi nina huruma nao siwezi wakatalia.
Ile upo kwenye mahusiano ya watu wawili ila kama ya kwako peke yako.Nanafua...