Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,553
- 112,493
Hata kama sijashiba nakua kama jiwe tu yani nikiingia napitiliza hadi chiniHa ha ha, usiingie kwenye maji wakati umeshiba
Hata kama sijashiba nakua kama jiwe tu yani nikiingia napitiliza hadi chiniHa ha ha, usiingie kwenye maji wakati umeshiba
Unanchanganyia mafailiHivi si ndo wewe yule ulisema kuna Youtube video, au?! Nilitaka kukuambia achana na hiyo mambo, huwezi kujifunza kuogelea kwa Youtube! Unaweza kutumia Youtube kama tayari unajua kuogelea lakini unataka uwe unaogelea as a professional!
Kuna style ya kukaaHata kama sijashiba nakua kama jiwe tu yani nikiingia napitiliza hadi chini
Kweli kujifunza kuogolea sio jambo la mchezo! Hii post yako si ya kwako:-Unanchanganyia mafaili
Nitawaletea video iliyonipa basic lessons
Ndugu unajua kusoma???Kweli kujifunza kuogolea sio jambo la mchezo! Hii post yako si ya kwako:-
Huna dogo?! Haya, have a great day!Ndugu unajua kusoma???
That is Sky Eclat
Au kama bado unaona ni mie fresh tufanye ni mimi
faili la mgonjwa wa kichwa kapewa mgonjwa wa mguuNdugu unajua kusoma???
That is Sky Eclat
Au kama bado unaona ni mie fresh tufanye ni mimi
Na bado namuambia sio mie anakomaa tehfaili la mgonjwa wa kichwa kapewa mgonjwa wa mguu
bado nahangaika kuona ufanano wa neno sky na evelyn
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁Hili ni jukwaa la mapenzi sasa uliposema kutembea nikadhani ile 'kutembea' ya mtaani....... 'anatembea na mke wa Mtu'
Kwa hiyo kwa sentensi yako nikafikiri unawananga wale wanaoingia kwenye swimming pool na 'kubanjuana' mumo mumo.
Mi hayo maeneo siwezi thubutu kusogelea, kwani itasimama.
Huwa nashangaa wanaume wanaoongelea na wanawake eneo moja.
Namm pia ni mhanga
Napenda kuswim alafu siwez
Nikienda swimming pool naishia kuchezea maji tu dadeq
Nshajifunza bila mafanikio sijui nakosea wapi, nikilala kwenye maji sielei yani nazama kama jiwe, nikiinuka masikio yameingiwa maji naona kerooo