Prince jr 47
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 295
- 246
Hapo halikosekani japo hata benzi kwa ajili ya mama daudi kama zawadi ya bethdeiAisee noma sana yote hayo RC kajitolewa kwa shule za secondary kweli RC piga kazi
Dah,sio kosa lako,tatizo ulikimbia umande ndio maana!Mbona naona yameandikwa maersky na sio makonda? Hahaaa
Kuna vx moja hapoHapo halikosekani japo hata benzi kwa ajili ya mama daudi kama zawadi ya bethdei
NI KICHINA MKUU JINA NI LILE LILE NDIO MAANA LIMEANZA NA MA...........Mbona naona yameandikwa maersky na sio makonda? Hahaaa
AiseeHapo halikosekani japo hata benzi kwa ajili ya mama daudi kama zawadi ya bethdei
unafanya nini huko nyuma?Makonda piga kazi, mimi niko nyuma yako.
Nampa supportunafanya nini huko nyuma?
Gari lolotw likiwekwa kwenye kontena lazima liwekewe magodoro mzee,vinginevyo utakuta hilo gari vioo vimevunjikaBaba ake kipindi kile si alifungua yale magari waliodai yametoka nje huku ndani yakiwa na magodoro Dodoma. Afungue na hayo tuone kuna nini
unafanya nini nyuma yakeMakonda piga kazi, mimi niko nyuma yako.