KAJOBO
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 386
- 301
Habari Wanajf?
Kwa yeyote mwenye knowledge ya kilimo cha vitunguu maji tushauriane juu ya namna bora ya kulima zao hili
Ningependa kufahamu mambo yafuatayo:-
Aina ya udongo
Aina ya mbegu
Mbolea inayofaa kutumiwa
Dawa za kuulia wadudu
NB: Mimi Niko Tabora
NAWASILISHA
Kwa yeyote mwenye knowledge ya kilimo cha vitunguu maji tushauriane juu ya namna bora ya kulima zao hili
Ningependa kufahamu mambo yafuatayo:-
Aina ya udongo
Aina ya mbegu
Mbolea inayofaa kutumiwa
Dawa za kuulia wadudu
NB: Mimi Niko Tabora
NAWASILISHA