Nawasalim wote,
1. Naomba kufaham kulingana na mnavyo faham,
biashara ya haisi (hiace) kwa siku hulaza sh.ngapi kwa tajiri
na makubaliano hua yapoje kulingana na sehem yenyewe
(kama ni dar, mwanza n.k)
2. Hali ya kibiashara hii ipoje katika hilo eneo husika. yaani biashara ipo au
inafanyika kwa shida?
Mawazo yenu yatanisaidi sana kwsababu nina plan ya kuifanya biashara hii ila sijawahi before
hivy siifaham saaana.
Asanteni wote.
1. Naomba kufaham kulingana na mnavyo faham,
biashara ya haisi (hiace) kwa siku hulaza sh.ngapi kwa tajiri
na makubaliano hua yapoje kulingana na sehem yenyewe
(kama ni dar, mwanza n.k)
2. Hali ya kibiashara hii ipoje katika hilo eneo husika. yaani biashara ipo au
inafanyika kwa shida?
Mawazo yenu yatanisaidi sana kwsababu nina plan ya kuifanya biashara hii ila sijawahi before
hivy siifaham saaana.
Asanteni wote.