mmmh Mtwara kuna VETA kule Shangani tu karibu na BahariNdugu zanguni nina rafiiki yangu ambae anahitaji kwenda kuanza mafunzo ya Ufundi kwenye Chuo Cha Veta hapa Mtwara
Hivyo Ndugu ninaombeni kwa yeyote anayefahamu chuo kizuri cha veta kilichopo mkoani Mtwara chenye mafunzo mazuri haswa ya Umeme na uchomeaji.Asanteni
Kuogelea ni zoezi mkuu 😂😂mmmh Mtwara kuna VETA kule Shangani tu karibu na Bahari
Au kuna VETA mpya
Tulikuwa tunaenda piga starehe na Kuogelea pale VETA kwenye swimming pool