maoni Ngalla
Member
- Oct 11, 2016
- 60
- 49
Kama upo Mbeya na ulihitaji kupata mafunzo ya ufugaji wa kuku pamoja na utengenezaji wa incubator aina zote na za kisasa zaidi nione inbox nikuunge kwenye group la maandalizi Semina hii ya mafunzo
MAFUNZO YATATOLEWA BURE
Mafunzo na huduma zitakazotolewa ni Kama zifuatazo
1.utengenezaji wa mabanda ya kisasa kwa gharama nafuu
1. Utengenezaji wa chakula Cha kuku
2.Uleaji wa vifaranga
3. Elimu ya utotoleshaji wa kuku aina zote
4.Uandaaji wa chanjo na dawa za kuku
5. Utengenezaji wa incubator aina zote,yaani zinazotumia solar na umeme, automatic na manual pia utafundishwa kubadili mafridge yaliyoharibika kuwa incubator,pia utaelekezwa kubadili ndoo kuwa incubator ambayo utatumia Kama kianzio
6.FAIDA ZINGINE UTAKAZO PATA KATIKA SEMINA HII NI KAMA ZIFUATAZO
I) mikopo ya vifaranga kwa wote watakaohudhuria
II) Mikopo ya mashine kwa ambao hawana kianzio
III) Kutafutiwa masoko yaani wateja wa kuku
Iv) Pia wote watakao hudhuria watapatiwa vyeti vya mafunzo
Semina itaanza tarehe 21 MWEZI huu wa Saba Hadi tarehe 31 MWEZI huu
Mafunzo yatazinduliwa na viongozi wa serikali
KWA WANAOHITAJI NIONE INBOX NIKUWEKE KATIKA GROUP LA MAANDALIZI
NA HII NI KWA WAKAZI WA MBEYA
Mawasiliano 0747456177
MAFUNZO YATATOLEWA BURE
Mafunzo na huduma zitakazotolewa ni Kama zifuatazo
1.utengenezaji wa mabanda ya kisasa kwa gharama nafuu
1. Utengenezaji wa chakula Cha kuku
2.Uleaji wa vifaranga
3. Elimu ya utotoleshaji wa kuku aina zote
4.Uandaaji wa chanjo na dawa za kuku
5. Utengenezaji wa incubator aina zote,yaani zinazotumia solar na umeme, automatic na manual pia utafundishwa kubadili mafridge yaliyoharibika kuwa incubator,pia utaelekezwa kubadili ndoo kuwa incubator ambayo utatumia Kama kianzio
6.FAIDA ZINGINE UTAKAZO PATA KATIKA SEMINA HII NI KAMA ZIFUATAZO
I) mikopo ya vifaranga kwa wote watakaohudhuria
II) Mikopo ya mashine kwa ambao hawana kianzio
III) Kutafutiwa masoko yaani wateja wa kuku
Iv) Pia wote watakao hudhuria watapatiwa vyeti vya mafunzo
Semina itaanza tarehe 21 MWEZI huu wa Saba Hadi tarehe 31 MWEZI huu
Mafunzo yatazinduliwa na viongozi wa serikali
KWA WANAOHITAJI NIONE INBOX NIKUWEKE KATIKA GROUP LA MAANDALIZI
NA HII NI KWA WAKAZI WA MBEYA
Mawasiliano 0747456177