Kwa wakazi wa Mbeya: RIP mzee Sombrero

chibhitoke

Member
Jun 1, 2010
60
12
Kwa wakaazi wa Mbeya, nimepata taarifa kuwa mmoja wa wakazi maarufu wa mji wa Mbeya mzee Sombrero amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Alikuwa mfanyabiashara maarufu katika sekta ya Hotel, ndiye mwenye jengo zilizopo ofisi za Vodacom Mbeya mkabala na Aghakhan Hospital.

Poleni ndugu, jamaa na marafiki.
 
Kwa wakaazi wa Mbeya, nimepata taarifa kuwa mmoja wa wakazi maarufu wa mji wa Mbeya mzee Sombrero amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Alikuwa mfanyabiashara maarufu katika sekta ya Hotel, ndiye mwenye jengo zilizopo ofisi za Vodacom Mbeya mkabala na Aghakhan Hospital.

Poleni ndugu, jamaa na marafiki.


Mkabala na Agakhani mbeya kuna ofisi za Zantel na SIO za Vodacom.
Anyway RIP Mzee Sombrero.
 
jamaa inaelekea katoka na hajapita mbeya muda kidogo.kweli jengo la mzee sombrero aliwapangisha voda zamani sana na walishahama, sasa hivi jengo la sombrero kuna ofisi za zantel.nywayz,pole wafiwa,mungu awasaidie
 
Rubuye,
Nashukuru sana ni kweli nilipita Mbeya siku nyingi sana, duu mambo yamebadilika sana.
 
Kwa wakaazi wa Mbeya, nimepata taarifa kuwa mmoja wa wakazi maarufu wa mji wa Mbeya mzee Sombrero amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Alikuwa mfanyabiashara maarufu katika sekta ya Hotel, ndiye mwenye jengo zilizopo ofisi za Vodacom Mbeya mkabala na Aghakhan Hospital.

Poleni ndugu, jamaa na marafiki.
R.I.P.MZEE SOMBRERO
kwa ujumla mimi nina kumbukumbu nyingine kuhusu hiyo hotel,BABA yangu alipiga mzinga wa pikipiki usiku wa kuamkia februari16 mwaka 1988 hapo nje ya SOMBRERO HOTEL,na akafa hapohapo,kwa mlioishi mbeya miaka hiyo mtakumbuka.kama mnaMkumbuka huyu mzee wangu aliyepata ajali alikua mwenyekiti F.A.T mkoa na alikuwa afisa ardhi mkoa pia.R.I.P PAPA.
 
R.I.P.MZEE SOMBRERO
kwa ujumla mimi nina kumbukumbu nyingine kuhusu hiyo hotel,BABA yangu alipiga mzinga wa pikipiki usiku wa kuamkia februari16 mwaka 1988 hapo nje ya SOMBRERO HOTEL,na akafa hapohapo,kwa mlioishi mbeya miaka hiyo mtakumbuka.kama mnaMkumbuka huyu mzee wangu aliyepata ajali alikua mwenyekiti F.A.T mkoa na alikuwa afisa ardhi mkoa pia.R.I.P PAPA.

Pole sana babu kijana.
 
Poleni wafiwa. Mungunt akupeni subira. Sombrero was a real gentleman. i had an opportunity to meet him many a times when i used to go to Mbeya.

RIP Mzee Sombrero
 
Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi ameni...........
Poleni wafiwa. Mungunt akupeni subira. Sombrero was a real gentleman. i had an opportunity to meet him many a times when i used to go to Mbeya.

RIP Mzee Sombrero
 
Poleni wafiwa. Mungunt akupeni subira. Sombrero was a real gentleman. i had an opportunity to meet him many a times when i used to go to Mbeya.

RIP Mzee Sombrero
...Ooh! God Ibrahim Sombrero is gone? RIP man. dah! huyu mzee ndio alikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo waliojikita katika biashara za vyakula/hotel katika mji wa mbeya in 80s mpaka 90s wengine walikuwa akina Mwambusi.
 
R.I.P.MZEE SOMBRERO
kwa ujumla mimi nina kumbukumbu nyingine kuhusu hiyo hotel,BABA yangu alipiga mzinga wa pikipiki usiku wa kuamkia februari16 mwaka 1988 hapo nje ya SOMBRERO HOTEL,na akafa hapohapo,kwa mlioishi mbeya miaka hiyo mtakumbuka.kama mnaMkumbuka huyu mzee wangu aliyepata ajali alikua mwenyekiti F.A.T mkoa na alikuwa afisa ardhi mkoa pia.R.I.P PAPA.
...miaka hiyo mwenyekiti wa FAT mkoa wa mbeya nadhani alikuwa marehemu Abani Nusura yeye alifariki kwa maradhi ya ulcers na alikuwa akiishi majengo malawi road jirani na shule ya msingi mbata!!!
 
Mkabala na Agakhani mbeya kuna ofisi za Zantel na SIO za Vodacom.
Anyway RIP Mzee Sombrero.
...Hilo jengo likiwa katika hatua za awali za ujenzi lilikuwa-condemned ilisemekana baadhi ya nguzo zake zilielekea kupinda kutokna na uzito nadhani ratio hazikuwa sawa wakati wa ujenzi...kumbe baadaye waliruhusu project iendelee??
 
Back
Top Bottom