LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Habari nilizonazo nikwamba watumiaji wote ama niseme wateja wote wa Manjis Gas & na kampuni zingine wanashughulika na mambo ya uuzaji wa Gas hapa Jijini Arusha,kuanzia kesho tar 7/ 03/2012 bei ya gas itapanda kama ifuatavyo:
6kgs toka Tsh 21,000/= hadi Tsh 24,000/=
15kgs toka Tsh 52,000/= hadi Tsh. 58,000/=
Ole wenu mnao tumia matumizi haya!
Nilipoinyaka nikasema niwajuze ndg zangu wanaJF wajue hili mapema!
Siju hawa mafisadi watatufikisha wapi!
Na hbr ndiyo hiyo kwa wakazi wa A town!
6kgs toka Tsh 21,000/= hadi Tsh 24,000/=
15kgs toka Tsh 52,000/= hadi Tsh. 58,000/=
Ole wenu mnao tumia matumizi haya!
Nilipoinyaka nikasema niwajuze ndg zangu wanaJF wajue hili mapema!
Siju hawa mafisadi watatufikisha wapi!
Na hbr ndiyo hiyo kwa wakazi wa A town!