Kwa wakazi wa Arusha.!?

Kayoka

JF-Expert Member
Jun 21, 2011
2,239
1,884
Naomba msaada wenu nahitaji kupata laptop Dell latitude ya 4GB (new/used) kwa matumizi ya kawaida ni wapi naweza kununua,? Bei ya kulipa laki 4 to 4.5. Naomba mnijuze wandugu na wenyeji wa maeneo haya.
 
Naomba msaada wenu nahitaji kupata laptop Dell latitude ya 4GB (new/used) kwa matumizi ya kawaida ni wapi naweza kununua,? Bei ya kulipa laki 4 to 4.5. Naomba mnijuze wandugu na wenyeji wa maeneo haya.
<br />
<br />
4gb ram au nini kaka?? Kama ni ram, basi bei yako ipo chini sana,,, mimi nipo arusha, nina dell inspiron, ina 500gb hard disk, 4 gb ram, na processor mbili, nimeitumia kama miezi mi3, ipo in good condition kbsa, lakini naiuza kwa laki 7 mkuu
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
4gb ram au nini kaka?? Kama ni ram, basi bei yako ipo chini sana,,, mimi nipo arusha, nina dell inspiron, ina 500gb hard disk, 4 gb ram, na processor mbili, nimeitumia kama miezi mi3, ipo in good condition kbsa, lakini naiuza kwa laki 7 mkuu
<br />
<br />
yap ndugu yangu ram 4gb. Vp kwa cash yangu niweza pata laptop? Iwe ya mavizi ya kawaida, hasa dell au hp..
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
yap ndugu yangu ram 4gb. Vp kwa cash yangu niweza pata laptop? Iwe ya mavizi ya kawaida, hasa dell au hp..
<br />
<br />
mkuu kusema kweli fairly laki nne utapala labda 1gb ram,, na 80 au 120 gb harddisk... Unless otherwise iyo ya 4 gb ram iwe ya wizi o sthng,, lakini laki nne upo chini sana mkuu,,, ingia kwa benson au sound n vision uchek bei za mashine, zipo juu kaka
 
dextop sokon ram2gb inaambatana na prnter coloured.. vpy archtct e.m na ndugu eddy88 atakaye itaka awasiliane nami mapema
 
Naomba msaada wenu nahitaji kupata laptop Dell latitude ya 4GB (new/used) kwa matumizi ya kawaida ni wapi naweza kununua,? Bei ya kulipa laki 4 to 4.5. Naomba mnijuze wandugu na wenyeji wa maeneo haya.

Jaribu COMPUCAT TECHNOLOGIES, Barabara ya Goliondoi wana computer mpya (model za zamani) ni around US$ 440
 
@ comred.... Bei gani mkuu?? Nikutumie pesa sasa ivi uniuzie??? Nahitaji sana mali kama hizo,, c unajua kupiga autocad na archicad?? Na iyo printer niprint na michoro yangu kbsa
 
Naomba msaada wenu nahitaji kupata laptop Dell latitude ya 4GB (new/used) kwa matumizi ya kawaida ni wapi naweza kununua,? Bei ya kulipa laki 4 to 4.5. Naomba mnijuze wandugu na wenyeji wa maeneo haya.
Kwa bei hiyo utapata Dell ya kawaida labda D600 au D620 tena itaanzia laki 4.5 - 5.5. Kwa msaada muone jamaa mmoja anaitwa Castro yupo jengo la NHC kilipo kituo cha Modern Driving School. Mtafute kwa 0713508235 mtaelewana.
 
<br />
<br />
mkuu kusema kweli fairly laki nne utapala labda 1gb ram,, na 80 au 120 gb harddisk... Unless otherwise iyo ya 4 gb ram iwe ya wizi o sthng,, lakini laki nne upo chini sana mkuu,,, ingia kwa benson au sound n vision uchek bei za mashine, zipo juu kaka
Tuwasiliane basi mkuu kumbe upo Arusha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom