Kwa Waislamu wote

mayenga

JF-Expert Member
Sep 6, 2009
4,118
1,966
Nitakuwa mtovu wa fadhila kama nikishindwa kuwashukuru ndugu zangu waislamu hasa majirani zangu.Kipindi chote cha mfungo ukarimu nilioushuhudia ni wa ajabu,kuanzia huduma ya tende na harua(sijui kama nimepatia) mpaka chakula mseto,kiukweli ile hali ya upweke kwa sababu ya ubachelor ilipotea kwa muda,ila kuanzia jana dah!
 
Nitakuwa mtovu wa fadhila kama nikishindwa kuwashukuru ndugu zangu waislamu hasa majirani zangu.Kipindi chote cha mfungo ukarimu nilioushuhudia ni wa ajabu,kuanzia huduma ya tende na harua(sijui kama nimepatia) mpaka chakula mseto,kiukweli ile hali ya upweke kwa sababu ya ubachelor ilipotea kwa muda,ila kuanzia jana dah!

yah....sio harua ni halua....
 
Waislam wakarimu sana!ndio maana hata omba omba hupita siku za ijumaa kupata sadaka!vituo vya yatima binafsi vingi vya waislam kulea yatima ktk familia ni wajibu
 
Hata mimi nimefuturishwa sana tu hadi nimeongezeka uzito bwana KIDOGO WANISILIMISHE KABISA YAANI DAH
 
Hata mimi nimefuturishwa sana tu hadi nimeongezeka uzito bwana KIDOGO WANISILIMISHE KABISA YAANI DAH
Njoo msikitini leo kwenye sala ya Ijumaa kazi itakuwaimesha na utanza kuitwa Asha balada ya Ma..g.th
 
Back
Top Bottom