Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,640
Lakini Stivu, kwa nini tu usiwasiliane moja kwa moja na CHADEMA? Wana mtandao, wanachama wake kama akina Mnyika, Regia, na wengineo wako fesibuku, why not reach out to them directly? Doing that sounds more logical to me but who am I to say....
Here you are just inviting all kinds of folks to chime in and ultimately hijacking the topic, mudsling, etc....
kwani wewe umechangia nini hapa
Huo hapo mchango wangu. Wako uko wapi?