Thefuture1
Member
- Nov 20, 2019
- 15
- 22
Habari wanajamii, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Kwa kuanza niwape hongera wahitimu wa kada mbalimbali kwa kuzingatia changamoto za ajira zinazoikabili nchi yetu na dunia kwa ujumla vijana mliohitimu masomo ni wakati sasa wa kuanza safari ya ajira hivyo basi ni vizuri mkapeleka taarifa zenu TaESA kwani wanaweza kuwasaidia kutafuta internship na ajira kwa baadhi ya kada.
Nawatakieni mafanikio wote kwa ujumla wenu.
Nawatakieni mafanikio wote kwa ujumla wenu.