Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

*PATA ELIMU FUGA KUKU*

Kutokana na shauku kubwa ya watu kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kwa ajili ya kujiongezea kipato nimeona niendeshe mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wafugaji na watu wote wenye nia ya kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.

Mafunzo haya ni ya siku tatu. Yataanza rasmi siku ya jumatano tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017. Ni mafunzo yatakayotolewa kwa njia ya Whatsap kwa ada ya tsh 3000 tu.

Tutamsoma kuku kwa undani kabisa. Tutaangalia mnyororo mzima wa thamani katika biashara hii ya ufugaji wa kuku. Tutaangazia changamoto mbalimbali. Hakuna kitu kitakachoachwa bila kufundishwa. Kuanzia Magonjwa, chakula, Uandaaji wa malighafi mbalimbali za kutengenezea chakula na uchanganyaji wake, namna ya kuanzisha mradi wa utotoleshaji wa vifaranga, utunzaji wa makundi mbalimbali ya kuku, namna ya kudhibiti vifo, Dawa salama za kuku, namna ya utoaji wa chanjo, Namna ya ujengaji wa mabanda bora ya kuku, masoko na mambo mengine mengi. Itatolewa pia elimu ya vitendo ili kuongeza uelewa wa wafugaji.

Halikadhalika kutakuwa nafasi pana ya kuuliza maswali yatakayojibiwa kwa ustadi mkubwa. Kwahiyo hii ni fursa kwako wewe mfugaji au mdau unayetaka kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku. Kama ulikuwa na jambo lolote lililokutatiza kwa muda mrefu kuhusu ufugaji huu wa kuku basi hapa ni mahali pake pa kupata ufumbuzi. Mwisho wa mafunzo haya, kitabu cha mwongozo wa ufugaji bora wa kuku soft copy kitatolewa kwa mchango wa shilingi elfu kumi tu ni kitabu kizuri sana si cha kukosa kama unataka kufanya mradi wa ufugaji kuku wenye tija.

Ufugaji wenye tija unaanzia kwenye maarifa sahihi. Usifuge kuku kwa kuwa umemwona fulani anafuga, fuga kuku baada ya kupata elimu sahihi. Ufugaji wa kuku bila elimu ni pasua kichwa.

Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.

Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*

Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.

Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.

*Tafadhali saidia kushare*
 
*ANDAA DAFTARI, ANDAA KALAMU JIUNGE KWENYE GROUP LA WHATSAP LA "PATA ELIMU FUGA KUKU" UONE TOFAUTI*

*Pata Elimu Fuga Kuku* ni kundi jipya la Whatsap lenye lengo la kutoa elimu kabambe na ya aina yake ya namna bora na yenye tija ya kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku.

Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa mfugaji wa kuku anapata elimu sahihi itakayomsaidia kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku kwa faida. Kutokana nafasi niliyonayo ya kuwa kwenye tasnia hii ya kuku kwa muda mrefu kama mtaalamu na mzoefu, nina nambo mengi ya msingi ambayo naamini mfugaji akiyapata yatamsaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza ujuzi katika ufugaji wake. Hakuna atakayejuta kwa kushiriki darasa langu.

Natambua katika ufugaji wa kuku kuna changamoto nyingi lakini kubwa ni vifo vya ghafla vya kuku, kutamalaki kwa magonjwa, utagaji usiyoridhisha, chakula kutokidhi viwango na bei yake kuwa juu, tija ndogo katika ufugaji, kukithiri kwa matumizi ya dawa, gharama za uendeshaji wa mradi kuwa juu nk

Mradi wa ufugaji wa kuku si mradi rahisi kama ambavyo watu wengi wanadhani. Naamini waliyowahi na wanaofuga kuku wanalijua hili. Ufugaji wa kuku ni tofauti kidogo na ilivyo ufugaji wa wanyama wengine wenye miguu minne. Kuku anapoumwa anahitaji apate tiba haraka. Na tiba hiyo haiitaji kubahatisha. Lazima ugonjwa ujulikane, ujue pia dawa halisi. Vinginevyo utaishia kulia na kupata hasara kila siku wakati wenzako wakipiga pesa kupitia ufugaji huo huo wa kuku. Asikuambie mtu, kuku wanapokufa inauma sana kama una moyo mwepesi lazima Pressure ikushike hasa kama pesa iliyotumika kuanzishia mradi ulikuwa umeikopa.

Kufugaji kuku bila kuwa na elimu ni sawa na kutaka kujitumbukiza kwenye shimo huku ukijua wazi madhara yake. Kuku wana kawaida ya kubadirika badirika. Unaweza ukawaona leo wazima lakini si ajabu baada ya muda mfupi ukashangaa wakaanza kuumwa na wanapoumwa haichukui muda wanaanza kufa mara moja.

Vifo vinapotokea, mapigo ya moyo yataanza kukupanda, jasho litakutoka na hata usingizi utashindwa kulala. Mawazo mengi yatakujaa. Utawaza hasara unayoipata kwa kuwapoteza kuku wako.

Kwa kuona hili nimeamua kuanzisha mafunzo haya maalumu kwa njia ya whatsap yatakayoendeshwa kwa siku tatu kuanzia tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017 ili niweze kutoa elimu yangu kwa watanzania wenzangu kwa gharama ndogo kabisa ya shilingi elfu tatu tu ili kuwangozea maarifa wafugaji na wale wote wenye lengo la kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.

Kuku wanahitaji uangalifu wa hali ya juu. Wafugaji wengi wanakosea sana. Unakuta anaanzisha mradi wa ufugaji wa kuku, halafu anamwachia mfanyakazi wake auendeshe. Ukimtazama mfanyakazi huyo, unakuta hajawahi kupata mafunzo ya aina yoyote hivyo anakuwa hajua hata zile ABC za ufugaji wa kuku matokeo yake mradi hauwi endelevu.

Kwa msingi huo, kama unamfanyakazi wako anayekusaidia kwenye shughuli za uangalizi wa shamba lako si vibaya naye ukamlipia ada ya shilingi elfu tatu ili aweze kupata mafunzo haya muhimu, mafunzo yatakayo mwongozea maarifa na stadi za kuwahudimia kuku wako. Halikadhalika si vibaya kama utaamua hata mke wako naye ukamlipia ili aweze kushiriki na kunufaika na mafunzo hayo maridhawa.

Maarifa siku zote hayaozi. Tunawahamasisha watumishi mbalimbali na hata wastaafu nao waweze kushiriki katika mafunzo hayo ili kujiongezea maarifa yatakayowawezesha kutekekeza mradi wa ufugaji wa kuku kwa weledi.

Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kwa njia ya ujumbe mfupi kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.

Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*

Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.

Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.

*Tafadhali saidia kushare*
 
*ANDAA DAFTARI, ANDAA KALAMU JIUNGE KWENYE GROUP LA WHATSAP LA "PATA ELIMU FUGA KUKU" UONE TOFAUTI*

*Pata Elimu Fuga Kuku* ni kundi jipya la Whatsap lenye lengo la kutoa elimu kabambe na ya aina yake ya namna bora na yenye tija ya kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku.

Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa mfugaji wa kuku anapata elimu sahihi itakayomsaidia kuendesha mradi wa ufugaji wa kuku kwa faida. Kutokana nafasi niliyonayo ya kuwa kwenye tasnia hii ya kuku kwa muda mrefu kama mtaalamu na mzoefu, nina nambo mengi ya msingi ambayo naamini mfugaji akiyapata yatamsaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza ujuzi katika ufugaji wake. Hakuna atakayejuta kwa kushiriki darasa langu.

Natambua katika ufugaji wa kuku kuna changamoto nyingi lakini kubwa ni vifo vya ghafla vya kuku, kutamalaki kwa magonjwa, utagaji usiyoridhisha, chakula kutokidhi viwango na bei yake kuwa juu, tija ndogo katika ufugaji, kukithiri kwa matumizi ya dawa, gharama za uendeshaji wa mradi kuwa juu nk

Mradi wa ufugaji wa kuku si mradi rahisi kama ambavyo watu wengi wanadhani. Naamini waliyowahi na wanaofuga kuku wanalijua hili. Ufugaji wa kuku ni tofauti kidogo na ilivyo ufugaji wa wanyama wengine wenye miguu minne. Kuku anapoumwa anahitaji apate tiba haraka. Na tiba hiyo haiitaji kubahatisha. Lazima ugonjwa ujulikane, ujue pia dawa halisi. Vinginevyo utaishia kulia na kupata hasara kila siku wakati wenzako wakipiga pesa kupitia ufugaji huo huo wa kuku. Asikuambie mtu, kuku wanapokufa inauma sana kama una moyo mwepesi lazima Pressure ikushike hasa kama pesa iliyotumika kuanzishia mradi ulikuwa umeikopa.

Kufugaji kuku bila kuwa na elimu ni sawa na kutaka kujitumbukiza kwenye shimo huku ukijua wazi madhara yake. Kuku wana kawaida ya kubadirika badirika. Unaweza ukawaona leo wazima lakini si ajabu baada ya muda mfupi ukashangaa wakaanza kuumwa na wanapoumwa haichukui muda wanaanza kufa mara moja.

Vifo vinapotokea, mapigo ya moyo yataanza kukupanda, jasho litakutoka na hata usingizi utashindwa kulala. Mawazo mengi yatakujaa. Utawaza hasara unayoipata kwa kuwapoteza kuku wako.

Kwa kuona hili nimeamua kuanzisha mafunzo haya maalumu kwa njia ya whatsap yatakayoendeshwa kwa siku tatu kuanzia tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017 ili niweze kutoa elimu yangu kwa watanzania wenzangu kwa gharama ndogo kabisa ya shilingi elfu tatu tu ili kuwangozea maarifa wafugaji na wale wote wenye lengo la kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.

Kuku wanahitaji uangalifu wa hali ya juu. Wafugaji wengi wanakosea sana. Unakuta anaanzisha mradi wa ufugaji wa kuku, halafu anamwachia mfanyakazi wake auendeshe. Ukimtazama mfanyakazi huyo, unakuta hajawahi kupata mafunzo ya aina yoyote hivyo anakuwa hajua hata zile ABC za ufugaji wa kuku matokeo yake mradi hauwi endelevu.

Kwa msingi huo, kama unamfanyakazi wako anayekusaidia kwenye shughuli za uangalizi wa shamba lako si vibaya naye ukamlipia ada ya shilingi elfu tatu ili aweze kupata mafunzo haya muhimu, mafunzo yatakayo mwongozea maarifa na stadi za kuwahudimia kuku wako. Halikadhalika si vibaya kama utaamua hata mke wako naye ukamlipia ili aweze kushiriki na kunufaika na mafunzo hayo maridhawa.

Maarifa siku zote hayaozi. Tunawahamasisha watumishi mbalimbali na hata wastaafu nao waweze kushiriki katika mafunzo hayo ili kujiongezea maarifa yatakayowawezesha kutekekeza mradi wa ufugaji wa kuku kwa weledi.

Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kwa njia ya ujumbe mfupi kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.

Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*

Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.

Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.

*Tafadhali saidia kushare*
Lini unatarajia kuanza mafunzo tena?nahisi tarehe zmepita...
 
NDUGU SMU, kazi yako iko ndani ya uwezo wetu.Tuna uzoefu na hiyo kazi.Kuna wapo ambao tayari tumekwisha waanzishia mradi kama wako na wamefanikiwa, kwa mfano kuna mteja ambaye tumemwanzishia mradi na kwa sasa,kila mwezi anatoa kuku 5000 na kuwapeleka sokoni.Yeye anatotoresha na kufuga kuku wa kienyeji.Kila kuku anauzwa kwa shs.10,000 kwa bei ya jumla,ebu imagine kuku 5000 ni sh. ngapi anatengeza,ukipiga hesabu hapo utaona kila mwezi anatengeneza milioni 50.Akitoa gharama,let say milioni 20,je kuna kuna kazi gani ambayo unaweza ukaearn milioni 30 kwa mwezi!Kwa hiyo kama utahitaji ufafanuzi zaidi nitumie namba yako kwenye private message nitakutumia yangu.
Acheni uongo jmn hiv mnajua faida ya mil 30?
 
Pata kuku wataamu kabisa kujiramba mwanzo mwisho
( *Wakienyeji* ) wakubwa wa kutoshaaa 20, 000tsh @1..

*_oda ya kuanzia Kuku 7 unapata punguzo_ ...*
* _Popote ulip0 dar unaletewa..*_
 
Pata kuku wataamu kabisa kujiramba mwanzo mwisho
( *Wakienyeji* ) wakubwa wa kutoshaaa 20, 000tsh @1..

*_oda ya kuanzia Kuku 7 unapata punguzo_ ...*
* _Popote ulip0 dar unaletewa..*_

CALL-0752-109265
 
Naongelea Broiler, bado watuangalie kwenye bei ya vyakula, kwa kweli bei za vyakula kwa kuku wa broiler bado kubwa sana, wanaumiza...
 
MWONGOZI WA UFUGAJI WA KUKU BORA WA MAYAI

SIKU YA 1-5

Wape Glucose na mchanganyiko mmojawapo kati yah ii ifuatayo;

· Neoxyvital au otc plus na typhorium au trimazin

· Fluban na vitamin kama vile aninovit au supervit au vitalyte



CHAKULA

Weka vigostart ambayo ina ridocox kwenye chakula, kilo moja kwa mfuko kuanzia wiki ya kwanza hadi nne ili kuzuia coccidiosis. Baada ya kuacha endelea kutumia ridocox 200g/tani kwa kuzuia coccidiosis hadi wanapoanza kutaga mayai.

SIKU YA 6

Wape vitamin ambayo ni vitastress

SIKU YA 7

Chanjo ya Newcastle masaa mawili tu. Weka maji ya vitamin(vitastress) mara baada ya kutoa maji ya chanjo

WIKI YA PILI

Chanjo ya gumboro masaa mawili tu. Halafu endelea na maji ya vitamini (vitastress)

WIKI YA TATU

Wape doxycol au otc 20% au anflox gold au fluban na amprolium,vitalyte au vitastress,molasses kwa siku 5-7

WIKI YA NNE

Hakikisha kuku wa nyama wanakuwa katika dozi kubwa ya vitamin (vitastress)

WIKI YA TANO

Hakikisha kuku wanakuwa katika dozi ndogo ya vitamin (vitastress)

WIKI YA SITA

Wape kuku maji ya vitamin asubuhi na matupu jioni



WIKI YA NANE

· Wape kuku chanjo ya ndui

· Dawa ya minyoo (piperazine au levamisole)

· Vitamin (supervit layers)

· Walishe grower mash hadi miezi 3 na nusu na tumia layer mash wakifika miezi 4 kamili

· Pia hakikisha wanapata chakula chenye ridocox hadi wanapoanza kutaga, pia kumbuka kuwapa majani

WIKI YA KUMI NA MBILI

Chanjo dhidi ya Newcastle ( rudia kila baada ya miezi mitatu) kwa masaa mawili kasha wape maji ya vitamin

WIKI YA KUMI NA SITA

Kata midomo kisha wape neoxyvital kwa siku 3-5 na pia anza kuandaa viota kwa ajili ya kutagia mayai

WIKI YA AROBAINI NA NANE

Wape virutubisho vyenye kuongeza wingi wa mayai kama vile G.L.P (kilo moja kwa kila 50 za chakula wiki ya kwanza na nusu kilo kwa wiki zinazofuata) na vitamin

WIKI YA HAMSINI NA MBILI

Chagua kuku wasio na dalili za kutaga kabisa, wenye magonjwa sugu na wenye tabia zisizofaa wauze ili kupunguza gharama

WIKI YA SABINI NA MBILI

Tumia V-RID kusafisha mabanda ili kuua vijidudu. Pia weka maji ya dawa hii kwenye kusafisha miguu (footbath) ili kuhakikisha udhibiti wa vijidudu (biosecurity) na kwamba vifaranga wanowekwa hawaathiriwi na vijidudu hivyo kwa lengo la kuepuka magonjwa

WIKI YA TISINI NA SITA

Ondoa kuku wote waliozeeka kwa ajili ya batch mpya ya vifaranga

HITIMISHO

Kwa maswali na maelekezo zaidi usisite kuwasiliana name kwa maelezo zaidi

Imeandaliwa na Doctor of veterinary medicine

Phone: 0712784472

theriogenology
 
1. Aina ya kuku wa mayai uanaitaji (wapi utawapata, na wakiwa na Umri gani (wa siku moja au mwezi nk))
2. Idadi ya kuku unataka kufuga
3. Wapi Utawafugia (eneo)
4. Upatikanaji wa Chakula kwa Muda wote kabla na miezi michache baada ya kuanza kutaga.
5. Fedha kwa ajili ya kuendesha mradi wako (bajeti)
6. Mfanyakazi
8. Soko unalolenga ni lipi na umbali kutoka unapofugia
9. Wapi utapata huduma za kitaamu
10. Usalama wa kuku.

Nk.
 
habarini wadau, nna mpango wa kuanza kufuga kuku wa mayai ya kisasa, kama kuna mwenye uelewa na uzoefu kwenye hili naomba ushauri, vifaranga wapi ndo wazuri na changamoto zilizopo kwenye ufugaji huu
 

Similar Discussions

30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom