Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 954
- 510
*PATA ELIMU FUGA KUKU*
Kutokana na shauku kubwa ya watu kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kwa ajili ya kujiongezea kipato nimeona niendeshe mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wafugaji na watu wote wenye nia ya kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.
Mafunzo haya ni ya siku tatu. Yataanza rasmi siku ya jumatano tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017. Ni mafunzo yatakayotolewa kwa njia ya Whatsap kwa ada ya tsh 3000 tu.
Tutamsoma kuku kwa undani kabisa. Tutaangalia mnyororo mzima wa thamani katika biashara hii ya ufugaji wa kuku. Tutaangazia changamoto mbalimbali. Hakuna kitu kitakachoachwa bila kufundishwa. Kuanzia Magonjwa, chakula, Uandaaji wa malighafi mbalimbali za kutengenezea chakula na uchanganyaji wake, namna ya kuanzisha mradi wa utotoleshaji wa vifaranga, utunzaji wa makundi mbalimbali ya kuku, namna ya kudhibiti vifo, Dawa salama za kuku, namna ya utoaji wa chanjo, Namna ya ujengaji wa mabanda bora ya kuku, masoko na mambo mengine mengi. Itatolewa pia elimu ya vitendo ili kuongeza uelewa wa wafugaji.
Halikadhalika kutakuwa nafasi pana ya kuuliza maswali yatakayojibiwa kwa ustadi mkubwa. Kwahiyo hii ni fursa kwako wewe mfugaji au mdau unayetaka kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku. Kama ulikuwa na jambo lolote lililokutatiza kwa muda mrefu kuhusu ufugaji huu wa kuku basi hapa ni mahali pake pa kupata ufumbuzi. Mwisho wa mafunzo haya, kitabu cha mwongozo wa ufugaji bora wa kuku soft copy kitatolewa kwa mchango wa shilingi elfu kumi tu ni kitabu kizuri sana si cha kukosa kama unataka kufanya mradi wa ufugaji kuku wenye tija.
Ufugaji wenye tija unaanzia kwenye maarifa sahihi. Usifuge kuku kwa kuwa umemwona fulani anafuga, fuga kuku baada ya kupata elimu sahihi. Ufugaji wa kuku bila elimu ni pasua kichwa.
Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.
Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*
Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.
Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.
*Tafadhali saidia kushare*
Kutokana na shauku kubwa ya watu kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kwa ajili ya kujiongezea kipato nimeona niendeshe mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wafugaji na watu wote wenye nia ya kutaka kufanya mradi wa ufugaji wa kuku kama kazi.
Mafunzo haya ni ya siku tatu. Yataanza rasmi siku ya jumatano tarehe 15/11/2017 hadi 17/11/2017. Ni mafunzo yatakayotolewa kwa njia ya Whatsap kwa ada ya tsh 3000 tu.
Tutamsoma kuku kwa undani kabisa. Tutaangalia mnyororo mzima wa thamani katika biashara hii ya ufugaji wa kuku. Tutaangazia changamoto mbalimbali. Hakuna kitu kitakachoachwa bila kufundishwa. Kuanzia Magonjwa, chakula, Uandaaji wa malighafi mbalimbali za kutengenezea chakula na uchanganyaji wake, namna ya kuanzisha mradi wa utotoleshaji wa vifaranga, utunzaji wa makundi mbalimbali ya kuku, namna ya kudhibiti vifo, Dawa salama za kuku, namna ya utoaji wa chanjo, Namna ya ujengaji wa mabanda bora ya kuku, masoko na mambo mengine mengi. Itatolewa pia elimu ya vitendo ili kuongeza uelewa wa wafugaji.
Halikadhalika kutakuwa nafasi pana ya kuuliza maswali yatakayojibiwa kwa ustadi mkubwa. Kwahiyo hii ni fursa kwako wewe mfugaji au mdau unayetaka kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku. Kama ulikuwa na jambo lolote lililokutatiza kwa muda mrefu kuhusu ufugaji huu wa kuku basi hapa ni mahali pake pa kupata ufumbuzi. Mwisho wa mafunzo haya, kitabu cha mwongozo wa ufugaji bora wa kuku soft copy kitatolewa kwa mchango wa shilingi elfu kumi tu ni kitabu kizuri sana si cha kukosa kama unataka kufanya mradi wa ufugaji kuku wenye tija.
Ufugaji wenye tija unaanzia kwenye maarifa sahihi. Usifuge kuku kwa kuwa umemwona fulani anafuga, fuga kuku baada ya kupata elimu sahihi. Ufugaji wa kuku bila elimu ni pasua kichwa.
Kama utahitaji kujiunga na kundi la *PATA ELIMU FUGA KUKU* tafadhali wasiliana nami kupitia namba 0767989713 au 0715989713 ili nikupatie namba utakayofanyia malipo yako.
Mara baada ya kukamilisha malipo, nitakuunga rasmi kwenye Group hilo la *PATA ELIMU FUGA KUKU*
Mafunzo haya yataendeshwa na Ndugu Aman Ng'oma aliyebobea na kuwajua vizuri Kuku. Bwana Ng'oma ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Kampuni ya Kinasoru East Africa Tanzania Ltd. Ndugu Ng'oma kitaaluma yeye ni afisa Mifugo, Mchumi Kilimo na Biashara, na pia Mtu wa Miradi. Ndugu Ng'oma ana Cert. Animal Health and Prod., Dip. Animal Health, BSc Agric.Eco.&Agr and Post Grad. Dip. Project plan.&Mgt.
Wote mnakaribishwe kwenye mafunzo haya muhimu na ya aina yake kuwahi kufanyika.
*Tafadhali saidia kushare*