Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 954
- 510
Mkuu hakuna njia yoyote ya kuifadhi hizo dawa zaidi ya kuweka kwenye friji?Hasa kwa wale ambao wanaishi vijijini au mbali na miundo mbinu ya umeme.
Mheshimiwa Blacktiger, hakuna njia nyingine ya kuhifadhi chanjo isipokuwa kwenye JOKOFU ndio maana tunashauri kwa watu wa vijijini wakanunue chanjo pale wanapohitaji kuitumia.Itabebwa kwenye coolbox au chupa iliyowekwa barafu kwa ajili ya kutunza ubaridi. Coolbox iliyojazwa barafu zilizoganda vyema ina uwezo wa kutunza dawa kwa saa 24. Kama ni mfugaji ni muhimu kuwa na coolbox,huziuzwi ghali. Chanjo kama hazitahifadhiwa kwenye friji au zitasafirishwa nje ya Jokofu zinaharibika.