mlanguzi
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 181
- 10
Binafsi nashukuru Sana utawala wa JK unavyoendelea.
Haya yanayotokea ni Changamoto ya Tawala zote Duniani.Huwezi kuishi ukapitwa na Changamoto za maisha.
i)Kenya- Mauji ya wenyewe kwa wenyewe
2)Uganda - Vita vya Kikabila kati ya Jeshi na Koni
3)Burundi- Karibuni wamepumzika. Hussen Rajab yupo gerezani
4)Rwanda - W
1)Iddi Amin - Uganda
2)Samwel Doo
3)Guine Bissau - Jeshi limepindua nchi, na hali ya kisiasa sio nzuri
4)Malawi - Ushoga umeingia. wananchi wanalalamika
5)Somalia: Vita vya wenyewe kwa wenyewe
6)Ethopia: Majeshi yao yapo ktk Vita. wananchi wao wanakimbia nchi. Maisha magumu.Wengi wanakufa kwenye malori wakikimbia nchi
7)Msumbiji- Mkate Ulipanda bei na wanachi kuuana. juzi tu wametoka ktk Vita vya wenyewe kwa wenyewe
8)Suda.- Wametenganishwa kwa sababu ya Mafuta na gesi
9)Libya - Sote Tunasikia
10)Egypt - Hali tete
11)Aljeria - Vita vya kuviziana
12)Nigeria - Vita vya Kidini
13)Liberia - Samweli Doo alivyotikisa, taylor yupo mahakama ya Kimataifa
14)Comoro- Tumepeleka Jeshi hivi karibuni
15)Kongo- Mapigano ya kikabila yameshika kasi
16)Tanzania 95-2005
Mauji ya Mwembe chai na wakimbizi wa Zanzibar
Yapo mauji mengine ya hapa na pale.
Tanzania 2005 - 2012
Tumshukuru Mungu kutoleta rais huyu.
Matukio
Migomo mingi ya madktari ishatokea
Migomo ya wafanyakazi imeshika kasi lkn hali sio ya Kutisha ukiwa nje mitandao ya Kijamii na magazati
Matukio ya Zanzibar UAMSHO. kama tawala nyengine za Tanzania. Wakimbizi na Vilema vingalijaa