alimkana mara tatu
"simjui mtu huyu"
naye alimtolea jicho!
jicho lenye ukakasi,ukakasi wenye ukwasi!
aibu ilimtanda kama kinda aliepanda na kusikitishwa na kinanda! wkt hilo likiendelea nae alimkana "simjui uliemtaja si huyo ni mwengine"
kipindi naandika hili "kwa waelewa tu" nilijua nimeeleweka! kumbe sijaeleweka
alimuuliza "umeelewa..?"
akajibu ndio nimeelewa
dk chache mbele akarudi na mdoli huku akimuuliza "ndo huyu..?"
"hapana"
akajibu mtu yule kwa sauti ya gadhabu...!
hilo likamtetemesha kinda nakuiona hatari ya mtu yule aliemtuma maana alionekana kung'atang'ata midomo yake huku akimkazia macho kinda!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.