Kwa wadau wa open university

Mimi binafsi nimeielewa kama mfumo wa chuo unaofuatilia maendelea ya mwanafunzi wake hasa anapokutana na mwalimu wke
uso kwa uso(face to face). Lakini jambo la kushangaza ni kwamba je muda unaotengwa kwa ajiri hiyo unatosha?
Na inakuwaje kama mfumo huo umeanzishwa kwa mara ya kwanza chuoni na wanafunzi wake wanaonekana hawana taarifa za kutosha?
Pia imekaaje pale ambapo mwalimu anaruhusiwa kumkatalia mwanafunzi kufanya mtihani wake bila kibali cha mwalimu(LECTURER VISA) wakati mwanafunzi yule anaamini ana uwezo
wa kuufanya?
Nadhani kunahitajika ufafanuzi zaidi na ushirikishwaji wa wadau wote. Ni mawazo yangu binafsi hayo
 
Mimi binafsi nimeielewa kama mfumo wa chuo unaofuatilia maendelea ya mwanafunzi wake hasa anapokutana na mwalimu wke
uso kwa uso(face to face). Lakini jambo la kushangaza ni kwamba je muda unaotengwa kwa ajiri hiyo unatosha?
Na inakuwaje kama mfumo huo umeanzishwa kwa mara ya kwanza chuoni na wanafunzi wake wanaonekana hawana taarifa za kutosha?
Pia imekaaje pale ambapo mwalimu anaruhusiwa kumkatalia mwanafunzi kufanya mtihani wake bila kibali cha mwalimu(LECTURER VISA) wakati mwanafunzi yule anaamini ana uwezo
wa kuufanya?
Nadhani kunahitajika ufafanuzi zaidi na ushirikishwaji wa wadau wote. Ni mawazo yangu binafsi hayo

kaka hapo labda uzumgumzie kuwa wanafunzi hawana taarifa ya kutosha na SPP. suala la wewe kujiona unaweza kufanya mtihani halina uhusiano na wewe kuwa na sifa za kufanya mtihani. mtahiniwa unaweza kuwa na sifa za kufanya mtihani,ukafanya na ukafeli, pia mtahiniwa unaweza ukawa hunasifa za kufanya mtihani wakati unao uwezo wa kufaulu.lecturer incharge akiona hujatimiza sifa za kufanya mtihani lazima akuzuie ndugu, haijalishi ni kupanga au la. kwa mfano. kama sheria inasema mwanafunzi lazima utengeneze riport tano mwalimu azione kabla ya mtihani, ukatengeneza nne, , labda moja hujafanya kwasababu uliugua au kwa matatizo mengine tu,lecturer incharge anaweza asitoe VISA ya wewe kwenda kwenye university exam, hilo laweza tokea wakati wewe umejiandaa vizuri tu na unauhakika utafaulu- hayo ndo mambo ya viwango kaka.
 
kaka hapo labda uzumgumzie kuwa wanafunzi hawana taarifa ya kutosha na SPP. suala la wewe kujiona unaweza kufanya mtihani halina uhusiano na wewe kuwa na sifa za kufanya mtihani. mtahiniwa unaweza kuwa na sifa za kufanya mtihani,ukafanya na ukafeli, pia mtahiniwa unaweza ukawa hunasifa za kufanya mtihani wakati unao uwezo wa kufaulu.lecturer incharge akiona hujatimiza sifa za kufanya mtihani lazima akuzuie ndugu, haijalishi ni kupanga au la. kwa mfano. kama sheria inasema mwanafunzi lazima utengeneze riport tano mwalimu azione kabla ya mtihani, ukatengeneza nne, , labda moja hujafanya kwasababu uliugua au kwa matatizo mengine tu,lecturer incharge anaweza asitoe VISA ya wewe kwenda kwenye university exam, hilo laweza tokea wakati wewe umejiandaa vizuri tu na unauhakika utafaulu- hayo ndo mambo ya viwango kaka.

utaratibu huu hausemi rufani inakatwaje, ukikorofishana na lecturer incharge umekwisha...anakufutia portfolio yote; wasiohudhuria je, ingefaa wahusika wafafanunue
zaidi, lecturer mmoja aliwafokea live wenzie kwenye tukio la kupitisha SPP...yule babu angeondolewa misafara, ni mbogo!
 
Back
Top Bottom