prospa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 554
- 156
kwa kinadada wenye umri kati ya 18-35.
Kama ungekuwa na uchaguzi kati ya wanaume wawili kwa ajili ya kuwa na serious relationship; wa kwanza anakuridhisha, kukufikisha na kukidhi haja zako kitandani, ni handsome, sio domo zege, na ana mahusiano ya kingono na wanawake wengine.
Wa pili hakuridhishi kitandani wala hakufikishi, sio handsome, domo zege na hana kabisa mahusiano na wanawake wengine.
Yupi kati ya hawa ungechagua? Na kwa sababu ipi?
Kama ungekuwa na uchaguzi kati ya wanaume wawili kwa ajili ya kuwa na serious relationship; wa kwanza anakuridhisha, kukufikisha na kukidhi haja zako kitandani, ni handsome, sio domo zege, na ana mahusiano ya kingono na wanawake wengine.
Wa pili hakuridhishi kitandani wala hakufikishi, sio handsome, domo zege na hana kabisa mahusiano na wanawake wengine.
Yupi kati ya hawa ungechagua? Na kwa sababu ipi?