Kwa wadada wapenda pesa na mahandsome

na ni very rare kumkuta legsome ana mipesa hahhaa manyandumbi jina tu lenyewe baya je muhusika.yani uwe nyandumbi halafu usiwe na pesa mwanamke gani atkupenda
 
Mawazo yako ndio akili yako hata kama yataonekana pumba kwa wenye upeo zaidi yako. Tabia ya mtu haiendani na uzuri au ubaya wake na hata pesa sio kigezo cha kuwa na tabia mbaya labda kwa malimbukeni.
 
Tena mahandsome siku hizi wamekua adimu sana maana wanagombaniwa na wote ie wanaume wanataka mahandsome na wanawake nao wanataka, mahandsome wamekua endangered specie karibu watatoweka.[/QUOTE:]

Mzuzu bila pesa ni uchafu!!! Handsome without brain nor knowledge is,......!! Mwenye kujua amalizie
 
Sina tyme naye, aone tu. Hoja zake azina mashiko. Sikuhizi namgongea malike tu akitoa mapoint.
kwamtoro your oxymorons lack a dose of surprising effect now, get innovative!
you should try a new approach, we have seen enough of your contradictions
Hoja zake hazina mashiko, then next: Nagonga like akitoa mapoint.
Sasa hoja zikikosa mashiko zinaweza kua na point? Au zenye pumba ndio zina mashiko?
Anyway, kwa leo nakubaliana na wewe: Ukipenda asali kubali kung'atwa na nyuki
Ukipenda ATM kubali foleni.
 
Last edited by a moderator:
Umefanikiwa kuanzisha UZI, hongera kwa kushiriki.
Mwali should see this
kweli wewe ni mwana mtoka pabaya
Sina tyme naye, aone tu. Hoja zake azina mashiko. Sikuhizi namgongea malike tu akitoa mapoint.
na wewe kwanini ukajibu hivi? Akili za mwenzio changanya na za kwako

kwamtoro your oxymorons lack a dose of surprising effect now, get innovative!
you should try a new approach, we have seen enough of your contradictions
Hoja zake hazina mashiko, then next: Nagonga like akitoa mapoint.
Sasa hoja zikikosa mashiko zinaweza kua na point? Au zenye pumba ndio zina mashiko?
Anyway, kwa leo nakubaliana na wewe: Ukipenda asali kubali kung'atwa na nyuki
Ukipenda ATM kubali foleni.

you are very right kujibu hivi maana baada ya yeye kuchokozwa hasingerespond kama alivyorepond i hope ungekaa kimyaa mwanamwali wa watu
 
kwamtoro your oxymorons lack a dose of surprising effect now, get innovative!
you should try a new approach, we have seen enough of your contradictions
Hoja zake hazina mashiko, then next: Nagonga like akitoa mapoint.
Sasa hoja zikikosa mashiko zinaweza kua na point? Au zenye pumba ndio zina mashiko?
Anyway, kwa leo nakubaliana na wewe: Ukipenda asali kubali kung'atwa na nyuki
Ukipenda ATM kubali foleni.
60% absolute correct. Have nice day & good work.
Jana ujang'aa kabisa JF, mpaka nilikuwa nawasiwasi labda sijui ulikuwa mwana mwali wapi.
 
Last edited by a moderator:
60% absolute correct. Have nice day & good work.
Jana ujang'aa kabisa JF, mpaka nilikuwa nawasiwasi labda sijui ulikuwa mwana mwali wapi.
ooowww, you missed me! so I guess "sina tyme nae" was also a false statement...
you noticed that I was not in (out of 120,000 members)polee, nilikua zangu tu home (sina access na Jf kama sio kazini)
Nimesoma hii hapa from äct like a lady think like a man" ya steve harvey. What's your opinion?
Naomba na lara 1 anipe opinion yake pia (please), I am always fascinated by ther approach to men/money

Know this: It is your right to expect that a man will pay for your dinner, your movie ticket, your club entry fee, or whatever else he has to pay for in exchange for your time.
You all have to stop this foolishness with the "I pay for my dinner so he knows I don't need him" approach. As I point out in the next chapter, "The Three Things Every Man Needs: Support, Loyalty, and the Cookie," a man-a real one, anyway-wants to feel needed. And the easiest way to help him get that high is to let him provide for you. This is only fair.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom