Nahitaji mtu mke atayekuwa mwenza wa maisha.
Sifa zake
1. Asiwe mpenda kujipodoa sana. Tafiti zinaonesha wanaojipodoa san asilimia kubwa ni wachepukaji.
2. Umri uwe kati ya miaka 23 na 28
3. Asiwe mtumiaji kabisa (hata kuonja) wa vilevi/madawa pamoja na sigara/bangi.
4. Awe hajawahi kuishi na mwanaume kinyumba ama kuolewa.
Sifa zangu zinashabihiana na hizo kwa aslimia kubwa. Mengine tuonane pm.
N.B: Naomba uwe unamaanisha tafadhali.
Sifa zake
1. Asiwe mpenda kujipodoa sana. Tafiti zinaonesha wanaojipodoa san asilimia kubwa ni wachepukaji.
2. Umri uwe kati ya miaka 23 na 28
3. Asiwe mtumiaji kabisa (hata kuonja) wa vilevi/madawa pamoja na sigara/bangi.
4. Awe hajawahi kuishi na mwanaume kinyumba ama kuolewa.
Sifa zangu zinashabihiana na hizo kwa aslimia kubwa. Mengine tuonane pm.
N.B: Naomba uwe unamaanisha tafadhali.