Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vaginoplasty, also referred to as vaginal tightening, is a plastic surgery procedure designed to tighten the internal muscles of the vagina which may have become stretched through child birth. Good candidates for vaginoplasty include women who feel that the vaginal canal is too loose.
salamu zetu....
huwa nasikia kuwa ukinawia limao ukeni, uke unakuwa tight je ni kweli?? kama sio kweli ni nini kinaweza kuufanya uke kuwa tight??? mie tayari nina watoto nahisi maumbile yangu sio tight sana. msaada tafadhali.
gfsonwin, snowhite, Ciello na wadada au wamama wa MMU. natanguliza shukrani.
are u a woman???
Umeshindwa hata kuelewa angalizo langu chini, comments like yours wont help anyhow na ndio uchakachuzi utapoanza while people like us we're here to helpCiello said:hata mie nshawahi sikia hizo story kitaa,
binafc sijawahi apply hizo mavitu, ngoja wakija
wenye expernc kidogo weza pata majibu....
salamu zetu....
huwa nasikia kuwa ukinawia limao ukeni, uke unakuwa tight je ni kweli?? kama sio kweli ni nini kinaweza kuufanya uke kuwa tight??? mie tayari nina watoto nahisi maumbile yangu sio tight sana. msaada tafadhali.
gfsonwin, snowhite, Ciello na wadada au wamama wa MMU. natanguliza shukrani.
.si kweli mdada, limao haisaidii unless unataka kuchubuka tu
hata wakikwambia uweke shabu, ndo utaharibu kabisa K itakuwa mdebwedo
mazoezi ya kegel ndo mwisho wa matatizo
na akina mama wa kitanzania mjifunze mazoezi kuweka mwili fit especially baada ya kujifungua husaidia viungo kurudi katika hali ya awali, sio kula mtori tuuuuuuuuuuuuu
na epuka kudumbukiza dumbukiza vitu huko chini......
Umetisha mkuu, ujuzi huu umeupata lini.....you make me think unthinkable.Si kweli kuwa maji maji ya limao yanabana uke...
Fanya mazoezi ya Kegel utapata matokeo chanya na kurudia ukigoli wako...
#Am tryin to save your thread from wachakachuzi wasiojua maana ya MMU
samahani, kwani mnaufanya nini hata unatepeta,
hii kitu bana dawa yake ni maji na sabuni tu zaidi sana angalia na chakula unachopenda kula, siyo kila leo unafakamia chips kuku huna hata mboga ya majani uone kama mwili utakuwa mzuri na zaidi labd ndo hayo mazoezi ambayo nayo ni mbwembwe tu, jitunzeni wadada, kuzaa watoto siyo waranti wa nanihii kutanuka bila mpangilio.
Umetisha mkuu, ujuzi huu umeupata lini.....you make me think unthinkable.
nawashukuru wadau wote kwa michango yenu. je hilo zoezi linatakiwa kufanyika kila baada ya muda gani? let say asubuhi, mchana au jioni? pia ni kwa kipindi gani labda wiki kadhaa, mwezi ama miezi kadhaa? pia nimesikia kuna dawa (sina uhakika ni dawa,sabuni au lotion) toka ORIFLAME inasaidia kutight je ni kweli inasaidia? kuna mtu alishawahi kuitumia?
samahani, kwani mnaufanya nini hata unatepeta,
hii kitu bana dawa yake ni maji na sabuni tu zaidi sana angalia na chakula unachopenda kula, siyo kila leo unafakamia chips kuku huna hata mboga ya majani uone kama mwili utakuwa mzuri na zaidi labd ndo hayo mazoezi ambayo nayo ni mbwembwe tu, jitunzeni wadada, kuzaa watoto siyo waranti wa nanihii kutanuka bila mpangilio.