Kwa wadada jamani

Mbona unaitapeli kama ni ndogo Eti

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.

Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
😂😂😂eti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??😂😂😂😂
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
 
Mm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.

Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
eti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
ha ha ha pengine ukumpa mambo vzr yaani akuuelewa mzigo ungempa vzr wala asingekuangusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadada wa dar noma sana utakuta anakuomba nauli labda atatokea mwenge to ubungo eti nitumie nauli ukimwuliza shingapi utasikia tuma elfu kum na ya kutolea wakat nauli hapo 400 tu, wadada wa dar embu kuweni na huruma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.

Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
eti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
pole mkuu kipindi hicho ulikuwa umekufa umeoza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.

Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
eti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
"Nahemea"...kanda ya ziwa tu

United Fan
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom