Kwa wabunge na wazawa wote wa Kilimanjaro

Mangi flani hivi

JF-Expert Member
Jan 2, 2016
2,026
3,100
Ambonyi wakuu,

Nichukue fursa hii kuwapa pole na starehe za krismas na pia kuwatakia mwaka mpya Mwema wa 2017 in advance.

Nimeshuka kutoka Mlimani leo na kwa kweli ni lazima niwe na fadhila kwa nilichokiona moshi mjini na migombani kwetu. Hakyanani kaka Mbowe na wenzako mmefanya kazi ya ziada na hakuna haja ya kampeni 2020. Barabara ipo mpaka mlangoni kwa bibi yangu, maji yapo kila nyumba, hospital na zahanati kila kona, Shule ndo tusiseme kwa sababu ni asili yetu. Mungu awabariki sana viongozi wote wa kisiasa mkoani Kilimanjaro na Arusha (japo sitaki zungumzia sana). Kudos mbe kanyi.

Nimefika pale moshi mjini yaani mji wote umeunganishwa kwa Lami, na ukizingatia na usafi wake.... Itoshe kuwasifia kwa leo. Sasa nasemaaa...


Mbowe, Komu, Selasini, mbatia, mbunge wa Siha, na Mbunge wa moshi vijijini(nimesahau majina yenu). Kwa upepo unavyoenda, naomba kwa utashi wenu, muandae na mtuandae kisaikolojia kutengeneza forum maalumu itakayowezesha sisi tunaokaa nje ya Kilimanjaro kuchangia shuguli za maendeleo ili kuwaunga mkono katika harakati zenu. Tunajua kuwa halmashauri zetu hapo Kilimanjaro zinakusanya vizuri na kutumia vizuri ila sisi tuliopo nje ya Mkoa tunaona aibu tunapokuja na kukuta wazee wetu wamefanya mambo ya maana hapo moshi halafu sisi tunachangia maendeleo ya huku porini Ambapo hakuna anayehitaji hivyo michango yetu inaishia midomoni mwa wajanja wachache.

Kwa kweli tunaipenda Kilimanjaro yetu na ni ya kwetu kweli, wabunge wetu na tunatamani kuchangia garama za maendeleo. Hapo ndipo tutatakapozikiwa, ndipo tunaporudishwa tukizidiwa, ndipo tunapokimbilia Kama ya mjini yakitushinda... Sasa Kama hamtushirikishi kwenye kujenga Kili yetu mnataka kutufanyaje???

Mwenyekiti Kaka Mbowe, naomba hiyo forum ifunguliwe haraka.

Angalizo:
Sisi wote ni wa Kilimanjaro, asitokee mjanja akataka kupiga hata kumi ya mtu hapo...hakyanani wachaga hatulogi lakini tutajua la kufanya.
 
meku......aliekwambia tunataka kushinda uchaguzi nani?.....sisi tunataka maendeleo............
inaelekea mwalimu wako alipata shida sana wewe.......


Maendeleo bila power haina maana, ingekuwa hivyo fisadi lowasa angeshajilalia ndani zamaani kula hela yake taratiibu!
 
Maendeleo bila power haina maana, ingekuwa hivyo fisadi lowasa angeshajilalia ndani zamaani kula hela yake taratiibu!

wayiiii.....sogea huko.......usinisonge mie......
Lowasa anatoka wapi hapa sasa.......?......
 
hizo barabara zote braza ni msaada wa IMF acha kuwapaiza watu huku.barabara zote ni za msaada sababu hii ni miji ya kitalii hata ruti za milimani zote ni msaada wa IMF kwa 100% usidanganye watu
 
hizo barabara zote braza ni msaada wa IMF acha kuwapaiza watu huku.barabara zote ni za msaada sababu hii ni miji ya kitalii hata ruti za milimani zote ni msaada wa IMF kwa 100% usidanganye watu
Unajielewa kweli... Hizo pesa ukiweka hapo chni zitachonga barabara zenyewe??? Na mbona kuna Mikoa mingine Ina hayo mamisaada na bado ni blanda tupu. Halmashauri zikiwa timamu, kuwe na pesa kusiwe na pesa maendeleo ni pie.

Hizo pesa ndo zinafagia mji. Wacha ujinga wewe,.... Funguka macho. Unataka kutujua kuliko tunavyojijua.... Ongelea kwenu huko. Yetu tunayajua wenyewe.
 
Mkuuu hongera kwa mawazo mazuri yenye tija kwa wana kilimanjaro na na watanzania wote kwa ujumla. Kama mwenyeji wa Moshi, kutokana a geografia nzuri ya mkoa huu, kamaa kuna uwezekanoo wa kushawishi wahisani, wadau wa elimu na serikali kwa ujumla ili kuwezesha ujenzi wa chuo kikuu ndani ya mkoa huu chenye hadhi kamaa UDSM,UDOM, SUA, MZUMBE.
Naamini hilii linawezekana kamaa tutawekaa jitihada za kutosha kwa maslahi mapana ya taifa.
 
Mkuuu hongera kwa mawazo mazuri yenye tija kwa wana kilimanjaro na na watanzania wote kwa ujumla. Kama mwenyeji wa Moshi, kutokana a geografia nzuri ya mkoa huu, kamaa kuna uwezekanoo wa kushawishi wahisani, wadau wa elimu na serikali kwa ujumla ili kuwezesha ujenzi wa chuo kikuu ndani ya mkoa huu chenye hadhi kamaa UDSM,UDOM, SUA, MZUMBE.
Naamini hilii linawezekana kamaa tutawekaa jitihada za kutosha kwa maslahi mapana ya taifa.
Haya ndo mambo sasa kiongozi..... Hapa wakitefungulia forum letu hapa.... Tunayoambiwa mawazo Kama hayo kila kitu kinakaa sawa.
 
Ambonyi wakuu,

Nichukue fursa hii kuwapa pole na starehe za krismas na pia kuwatakia mwaka mpya Mwema wa 2017 in advance.

Nimeshuka kutoka Mlimani leo na kwa kweli ni lazima niwe na fadhila kwa nilichokiona moshi mjini na migombani kwetu. Hakyanani kaka Mbowe na wenzako mmefanya kazi ya ziada na hakuna haja ya kampeni 2020. Barabara ipo mpaka mlangoni kwa bibi yangu, maji yapo kila nyumba, hospital na zahanati kila kona, Shule ndo tusiseme kwa sababu ni asili yetu. Mungu awabariki sana viongozi wote wa kisiasa mkoani Kilimanjaro na Arusha (japo sitaki zungumzia sana). Kudos mbe kanyi.

Nimefika pale moshi mjini yaani mji wote umeunganishwa kwa Lami, na ukizingatia na usafi wake.... Itoshe kuwasifia kwa leo. Sasa nasemaaa...


Mbowe, Komu, Selasini, mbatia, mbunge wa Siha, na Mbunge wa moshi vijijini(nimesahau majina yenu). Kwa upepo unavyoenda, naomba kwa utashi wenu, muandae na mtuandae kisaikolojia kutengeneza forum maalumu itakayowezesha sisi tunaokaa nje ya Kilimanjaro kuchangia shuguli za maendeleo ili kuwaunga mkono katika harakati zenu. Tunajua kuwa halmashauri zetu hapo Kilimanjaro zinakusanya vizuri na kutumia vizuri ila sisi tuliopo nje ya Mkoa tunaona aibu tunapokuja na kukuta wazee wetu wamefanya mambo ya maana hapo moshi halafu sisi tunachangia maendeleo ya huku porini Ambapo hakuna anayehitaji hivyo michango yetu inaishia midomoni mwa wajanja wachache.

Kwa kweli tunaipenda Kilimanjaro yetu na ni ya kwetu kweli, wabunge wetu na tunatamani kuchangia garama za maendeleo. Hapo ndipo tutatakapozikiwa, ndipo tunaporudishwa tukizidiwa, ndipo tunapokimbilia Kama ya mjini yakitushinda... Sasa Kama hamtushirikishi kwenye kujenga Kili yetu mnataka kutufanyaje???

Mwenyekiti Kaka Mbowe, naomba hiyo forum ifunguliwe haraka.

Angalizo:
Sisi wote ni wa Kilimanjaro, asitokee mjanja akataka kupiga hata kumi ya mtu hapo...hakyanani wachaga hatulogi lakini tutajua la kufanya.
Kuomba umoja yes, ila unakosea kuunganisha maendeleo na wabunge wako!
hayo unayoyasema yalikuwepo toka Enzi ya chama kimoja, na si mbowe wala mbatia aliyetoa senti tano kwa ujenzi wa barabara, shule wala zahanati!
kama kusudio lako ni kulipa fadhila kwa aliyetenda hayo, basi ishukuru serikali ya ccm! mtafute magufuli na umpe shukrani kwa chama chake kuwapendelea wachaga!
 
Kuomba umoja yes, ila unakosea kuunganisha maendeleo na wabunge wako!
hayo unayoyasema yalikuwepo toka Enzi ya chama kimoja, na si mbowe wala mbatia aliyetoa senti tano kwa ujenzi wa barabara, shule wala zahanati!
kama kusudio lako ni kulipa fadhila kwa aliyetenda hayo, basi ishukuru serikali ya ccm! mtafute magufuli na umpe shukrani kwa chama chake kuwapendelea wachaga!
Matusi hayaruhusiwi huku kwenye hii forum,... Usiwatajie watu wa kaskazin majina ambayo ni Kama matusi kwao. On gea ya kwenu.... Kubanwa kisaa Ndumi???
 
Mfanye na mpango moshi iwe mkoa maana ukisema kilimanjaro unachanganya na wapare ndani. Wakati mwingine moshi inajulikana kuliko hata mkoa wa kilimanjaro, wengi ukiwaambia kuhusu kilamajaro wao wanajua mlima tu sio mkoa.
 
Nilipoona barabara ya kwenda kijijini kwetu inawekwa lami, kidogo machozi yanitoke. Barabara ya kwenda kijijini kuwa na lami kwa TZ hii, long live Kilimanjaro.
 
Nilipoona barabara ya kwenda kijijini kwetu inawekwa lami, kidogo machozi yanitoke. Barabara ya kwenda kijijini kuwa na lami kwa TZ hii, long live Kilimanjaro.
Bwashe nimedrive mpaka kileji kwa bibi, ikabidi niulize watu jamani ndio huku au nimekosea??? Yaani ukichanganya na ile migomba ni kingstone asee...real mkuu, long live kili.
 
umenena mkuu. kilimanjaro university ya nguvu
Kweli kabisaa mkuu,, kama ni shulee zipoo zakutoshaaa, vyuo vya ualimu, Marangu T.C na Mandaka, chuo cha police Moshi,...kinachohitajikaa hapaa ni chuo kikuu kikubwaa.
 
Kweli kabisaa mkuu,, kama ni shulee zipoo zakutoshaaa, vyuo vya ualimu, Marangu T.C na Mandaka, chuo cha police Moshi,...kinachohitajikaa hapaa ni chuo kikuu kikubwaa.
Ndo tupiganie tupate forum jamani, haya na mengine mbona yanawezekana.... Hebu fikiria lichuo lijengwe kwenye maporomoko ya mlima kili. Sipati picha.....
 
Ndo tupiganie tupate forum jamani, haya na mengine mbona yanawezekana.... Hebu fikiria lichuo lijengwe kwenye maporomoko ya mlima kili. Sipati picha.....
inabidi tutoe maoni namna ya kupata iyoo forum yenye kufocus kwenye masuala ya maendeleo na iwe inatambulikaa kihalali.
 
Back
Top Bottom