mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,777
- 6,454
Wivu tu 😂😂Corona, nzige na Al Shabaab watawamalizeni wote nyie nyang'au na vijimajivuno vyenu uchwara.
Wivu tu 😂😂Corona, nzige na Al Shabaab watawamalizeni wote nyie nyang'au na vijimajivuno vyenu uchwara.
Barabara Kama hizo utazipata Kenya, South Africa, Nigeria, Morocco, Egypt, Tunisia, Algeria na Uganda...ama unataka nikuonyeshe za Museveni?Nini kipya hapo
Museveni 😬😬Barabara Kama hizo utazipata Kenya, South Africa, Nigeria, Morocco, Egypt, Tunisia, Algeria na Uganda...ama unataka nikuonyeshe za Museveni?
Ok.Wivu tu 😂😂
Labda Ile inayotoka airport zilizojengwa kwa PPPMuseveni 😬😬
Labda Ile inayotoka airport zilizojengwa kwa PPP
Endeleeni tu kuponda na kukariri porojo zenu za kawaida. Majirani zetu Uganda pia wanaendelea kusonga. Hapa ni kwa M7, Kampala- Entebbe Expressway.Museveni
LOL nyuma wapi?Angalau wewe umekubali kuwa mko nyuma yetu
Thika Highway inatoka Nairobi jijini hadi Thika Town, hiyo ni distance ya kilomita 50.LOL nyuma wapi?
Barabara za Dar zipo hivyo tena bora zaidi, ukiondoa BRT katikati, barabara zetu zinakua pana na zenye lanes nyingi zaidi na ndio maana hazina foleni za kipumbavu kama hicho kipande chenu cha kilometers 10
Kwenye hiyo highway ya Thika kuna Bypass 3 ambazo zinaunganisha barabara zingine moja kwa moja kwa Thika Highway, bila kupitia jijini Nairobi. Kuna Northern Bypass inaunganisha highway ya Thika na Limuru. Eastern Bypass, Thika na Mombasa Highway. Western Bypass- Ruiru. Kama hivi.Sasa kama kilometa zaidi ya 10 hakuna mwingiliano wa barabara lazima kuwe hivyo. Tanzania kama unataka kwenda point A kuna barabara mbadala zaidi ya 2.
Uganda ipi unaiongelea 😁😁😁Barabara Kama hizo utazipata Kenya, South Africa, Nigeria, Morocco, Egypt, Tunisia, Algeria na Uganda...ama unataka nikuonyeshe za Museveni?
Pale Uganda hata wajenge 100lanes na zile bodaboda zao zisizofuata utaratibu ni uchafu mtupuEndeleeni tu kuponda na kukariri porojo zenu za kawaida. Majirani zetu Uganda pia wanaendelea kusonga. Hapa ni kwa M7, Kampala- Entebbe Expressway.
lol hii barabara haipo Kenya,Thika Highway inatoka Nairobi jijini hadi Thika Town, hiyo ni distance ya kilomita 50. Kwenye hiyo highway ya Thika kuna Bypass 3 ambazo zinaunganisha barabara zingine moja kwa moja kwa Thika Highway, bila kupitia jijini Nairobi. Kuna Northern Bypass inaunganisha highway ya Thika na Limuru. Eastern Bypass, Thika na Mombasa Highway. Western Bypass- Ruiru. Kama hivi.Naton Jr tuoneshe vitu kama hivi.
TZ hamna barabara yoyote inayolingana na Thika road. Wewe unacheza na Thika road sana. Hata hio Ubungo flyover haitafikia upana na urefu wa Thika road. Thika road ni 40 km.LOL nyuma wapi?
Barabara za Dar zipo hivyo tena bora zaidi ya hiyo, ukiondoa BRT katikati, barabara zetu zinakua pana na zenye lanes nyingi zaidi ya hiyo na ndio maana hazina foleni za kipumbavu kama hicho kipande chenu cha kilometers 10.
Hio ni uongo. Thika road imeundwa na service lanes on both sides of the road. Huwezi kukosa kuhesabu barabara yote kwa ujumla. Pia hata usipohesabu service lane, si kweli kwamba most of the road in dual carriage way.lol hii barabara haipo Kenya,
Na sio barabara yote ni zaidi ya dual carriages, most of the road is dual carriage way.
lol hii barabara haipo Kenya,
Na sio barabara yote ni zaidi ya dual carriages, most of the road is dual carriage way.
Video ya Thika Road hii hapa, wakati wa usiku. Wabongo washamba, tazameni jinsi middle income inavyofanana.