Kwa Wabongo ambao hawajawahi kuona Thika Road, tazameni hii video. Kisha mkome kupinga kuwa Kenya ina miundombinu nzuri kushinda Tanzania

Hiyo barabara kuivuka ni shughuli kipindi niko kenya karibu na gharisa shangazi yeye anakaa kyambuu tulienda asee niliishangaa sana magari mstari 12 6 yanaenda na 6 yanarudi.
Video ya Thika road hii hapa, wakati wa usiku. Wabongo washamba, tazameni jinsi middle income inavyofanana.

 
Sikiliza huyo anayeongea ana deep kikuyu accent! Kama aliye-anzisha hii clip!
Inaitwa lafudhi ya kibiashara, hakuna aibu yeyote kwa mwafrika kuwa na accent, ya kiafrika. Hata ze katarist naye pia anayo moja nzito. Ila najua hilo huwa halikutatizi wakati unachapa hotuba zake rewind kama mia.
 
Kitu chenyewe hiki hapa, na ifahamike hii ni picha ya upande mmoja maana sio rahisi kupiga picha pande zote mbili kwa mpigo mmoja.

qsHse8gZC8rj9nbg2B83KJApDWUtqQpT5mgF8Z62owa5qoP5FlmdTa2TQmT87a6Nt-K6GBsrxXyvqPz6GMFs9IbxHR5W5k9t6cY84jmfIL6wZjJlJVMS4NdauQI6hZnZnxPz7pD_VQqozrSEX6ebfetLuUYK
 
tatizo nyie kila kitu mnaonyesha Nairobi tuu,miji mingine mmh.Hongereni basi kwa hizo barabara kama ndio zinareflect maendeleo ya mwananchi wa kawaida. Huku Tz barabara za miji mingi ni mkeka tuu lakini wametulia tuu kelele nyingi mapoyoyo tuu ndegelec
 
ni masikitiko makubwa sana kukutaarifu ya kwamba barabara sampuli hiyo,,, utaishia kuziona kwenye video tuu. vuka border angalau uje kufurahia maisha katika ulimwengu wa kwanza kabla hujakuwa marehemu.
Ulimwengu wa kwanza Kibera?
 
tatizo nyie kila kitu mnaonyesha Nairobi tuu,miji mingine mmh.Hongereni basi kwa hizo barabara kama ndio zinareflect maendeleo ya mwananchi wa kawaida. Huku Tz barabara za miji mingi ni mkeka tuu lakini wametulia tuu kelele nyingi mapoyoyo tuu ndegelec
Jombaa, hapo ni gatuzi la Kiambu, ukiwasili jijini Nairobi inakuwa ni juu kwa juu tu, hiyo mikeka unayoizungumzia ni ya wakati wa kuenda kusali. :D
maxresdefault.jpg
 
Mbona Wabongo wanatoa utumbo kwenye huu uzi? Mbona hasira jamani? Kumbe ukweli unauma. Hahaha
 
Back
Top Bottom