kuna taarifa za mgomo wa wafanyakazi wa kitengo fulani hapa chini kesho hiyo. Mwenye kutaka tuiweke wazi hii naomba tuwasiliane kwa taarifa zaidi ili tukomeshe ufujaji wa mali za umma
Acha uoga wewe kama unauhakika na habari yako kwa nini iwe siri?
mpaka imekufikia wewe je ni wangapi tayari wanaijua?
weka hadharani where we dare to talk openely.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.