Habari za leo wadau wa jf? natafuta kazi hata ya kujitolea (volunteer) katika taasisi/ kampuni yoyote ile, nimesomea fani ya rasimali watu( human resources) ngazi ya shahada (degree) pia nina uzoefu katika Mauzo na Masoko, please naomba msaada. unaweza kuni PM, au mhassani84@yahoo.com, asanteh