johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,875
- 141,809
Hapa namzungumzia Nape wa jengo la makao makuu ya UVCCM, namzungumzia Zitto yule wa Buzwagi, Tundu Lissu wa bunge la katiba na kijana Makonda wa vita ya madawa ya kulevya. Wanne hawa historia waliyoandika kwa ujasiri waliouonyesha katika nyakati tofauti tofauti hakika haitafutika. Je, yupo kijana niliyemsahau?........ Karibu!