KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,574
- 8,592
Napenda kuchukua nafasi hii kuwauliza vyama vya upinzani mimi nataka kufahamu upinzani unapingana na nani?kwakuwa kwakitu nimekiona Igunga nikwamba wapizani wana ubinafsi wanafanya mpaka ccm inawagaragaza kilasiku kwasababu ya ubinafsi!kwakuwa ukiona aslimia za ccm na za upinzani inamaana wapinzani wangechukua jimbo!CCM wana wavuluga then wao wanagomba wanashindwa kuelewana na wanagombana nakila mmoja ana simamisha mgombea mwisho wanagawana kula ccm anaibuka mshindi!Nawashauri kama wanaweza wapeane majibo kama majimbo yauchaguzi yapo 3 wanagawana! Na wanapeana nguvu na wanayachukua mwisho wa siku Watajikuta wana kambi kubwa ya upinzani na kuweza kusimamisha miswaada!ambayo hainda tija kwa taifa wasiangalie maslahi ya mtu mmoja pekee na chama waangalie masilahi ya Taifa lasivyo Ccm itazidi kutuburuza.