Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Ukisikiliza yanayoendelea ndani ya ACT na CHADEMA kuhusu suala la Wagombea urais Muungano na Zanzibar utacheka sana na utagundua dhahiri kuwa hakuna upinzani Tanzania bali wasaka tonge.
Mwanzoni ACT wamemshobokea Membe toka akiwa CCM. Baada ya hapo wakamdhamini NEC awe mgombea wao kwa sera ya 'Kazi na Bata'
Upande wa pili, CHADEMA wao wamemteua mgombea urais Zanzibar na kumdhamini ZEC. Anakuja Tundu ambaye alishiriki vikao halali kikatiba na kutangaza kutomtambua mgombea wa urais CHADEMA kwa upande wa Zanzibar.
Hizi ni akili za mbayuwayu huwezi kumkana mgombea aliyekwiteuliwa na NEC kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano au aliyeteuliwa na ZEC kugombea urais wa Zanzibar. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ile ya Zanzibar.
Waswahili tuna usemi wetu 'Ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa'
Tarehe 28.10.2020 kipigo kipo pale pale.
Ukisikiliza yanayoendelea ndani ya ACT na CHADEMA kuhusu suala la Wagombea urais Muungano na Zanzibar utacheka sana na utagundua dhahiri kuwa hakuna upinzani Tanzania bali wasaka tonge.
Mwanzoni ACT wamemshobokea Membe toka akiwa CCM. Baada ya hapo wakamdhamini NEC awe mgombea wao kwa sera ya 'Kazi na Bata'
Upande wa pili, CHADEMA wao wamemteua mgombea urais Zanzibar na kumdhamini ZEC. Anakuja Tundu ambaye alishiriki vikao halali kikatiba na kutangaza kutomtambua mgombea wa urais CHADEMA kwa upande wa Zanzibar.
Hizi ni akili za mbayuwayu huwezi kumkana mgombea aliyekwiteuliwa na NEC kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano au aliyeteuliwa na ZEC kugombea urais wa Zanzibar. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ile ya Zanzibar.
Waswahili tuna usemi wetu 'Ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa'
Tarehe 28.10.2020 kipigo kipo pale pale.