Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Nireteeeeni JuriiJikite kwenye hoja kamanda acha kuweweseka
Nireteeeeeeni Jurii
Nireteeteeeeeni juriiii
Nireteeeeni JuriiJikite kwenye hoja kamanda acha kuweweseka
Aliemuachia Babu Seya alikuwa mahakama?Kwani Lisu ni mahakama? Ataingilia uhuru wa mahakama?
Anamnyenyekea beberu YEHODAYACheki anavyonyenyekeaView attachment 1606138
Shekhe ndo msemaji wa lisu mkuu. Upinzan u have a long way to go guys.Shekhe Ponda kasema kuwa Membe atulie atapangiwa kazi katika siku mia za Lissu madarakani
Vilevile Sheikh Ponda kasisitiza ndani ya siku ishirini za Raisi wa Watu Jemadari Tundu Antipas Lissu Mashekhe wa Uamsho na wale wa Answari Suna watarudi nyumbani kwao kwenye familia zap
Nireteeeeni Jurii
Nireteeeeeeni Jurii
Nireteeteeeeeni juriiii
Babu Seya alikuwa mfungwa. Kwa tofautisha mfungwa na mahabusu.Aliemuachia Babu Seya alikuwa mahakama?.
Upinzani upo, tena umemfanya mgombea wenu amekua mgonjwa sugu wa moyo maana hakutegemea anayoyaonaUpinzani bado sana, labda tuamke wenyewe sisi wananchi na kuleta mabadiliko bila kujali vyama vya hawa wasaka vyeo na wababaishaji
Tulia we kenge ukuni uingie, kumuunga mkono mgombea 'mwenye nguvu' sio kwamba hamtambui wa chama chake... kaeni kwa kutulia mmeshikwa korodani.
NaaamShekhe Ponda kasema kuwa Membe atulie atapangiwa kazi katika siku mia za Lissu madarakani
Vilevile Sheikh Ponda kasisitiza ndani ya siku ishirini za Raisi wa Watu Jemadari Tundu Antipas Lissu Mashekhe wa Uamsho na wale wa Answari Suna watarudi nyumbani kwao kwenye familia zap
Uvccm watajifanya wanatembelea vieteeeTatizo la UVCCM wanajadiliana kwanza kwenye magroup za whatsapp na wanapanga kuja kufungua uzi humu ili wasapotiane!
Wajinga wachache sana mmebaki hapo chadema.Shekhe Ponda kasema kuwa Membe atulie atapangiwa kazi katika siku mia za Lissu madarakani
Vilevile Sheikh Ponda kasisitiza ndani ya siku ishirini za Raisi wa Watu Jemadari Tundu Antipas Lissu Mashekhe wa Uamsho na wale wa Answari Suna watarudi nyumbani kwao kwenye familia zap
Kwa akili yako hata ya chekechea uliyonayo,unafiki upinzani ni Chadema au ACT?Upinzani bado sana, labda tuamke wenyewe sisi wananchi na kuleta mabadiliko bila kujali vyama vya hawa wasaka vyeo na wababaishaji
Alijipanga mzee wako kule Geita akaacha mavi jukwaan.Upinzani hawajipanga kabisa yaani. Hivi Membe so alipitishwa kwenye vikao rasmi vya chama? Sasa inakuwaje analazimishwa kumsapoti mgombea urais wa chama kingine? Mambo ya ajabu kabisa haya.
Aliemuachia babu seya alikuwa mahakama?. Hujajibu suali.Babu Seya alikuwa mfungwa. Kwa tofautisha mfungwa na mahabusu.
Sasa huu utumbo wao tunaujua sana.Tatizo la UVCCM wanajadiliana kwanza kwenye magroup za whatsapp na wanapanga kuja kufungua uzi humu ili wasapotiane!
Tulia we kenge ukuni uingie, kumuunga mkono mgombea 'mwenye nguvu' sio kwamba hamtambui wa chama chake... kaeni kwa kutulia mmeshikwa korodani.