Msiowapenda wameungana🤣🤣makubwa ponda sasa ndie kiongozi mkuu wa CHADEMA AU? Haya matamko duuuu
Aliambiwa atapewa wabunge 20Hahaha bora angeunga juhudi akafe nao, maana rais ni Lisu na chadema.
Hahaha unasema mbinu zaoTatizo la UVCCM wanajadiliana kwanza kwenye magroup za whatsapp na wanapanga kuja kufungua uzi humu ili wasapotiane!
Mzungu mzungu tuCheki anavyonyenyekeaView attachment 1606138
Y
Yaani wapinzani ni sibonhwa sana! Watashinda njaa sio uchaguzi!
Shekhe Ponda kasema kuwa Membe atulie atapangiwa kazi katika siku mia za Lissu madarakani
Vilevile Sheikh Ponda kasisitiza ndani ya siku ishirini za Raisi wa Watu Jemadari Tundu Antipas Lissu Mashekhe wa Uamsho na wale wa Answari Suna watarudi nyumbani kwao kwenye familia zap
Vituko viko ccm, Juzi Magufuli analia kawe apelekewe Gwajima wakati yuko naye jukwaani.
Leo Gwajima anaitwa RASHIDI.
Kitila Mkumbo alishindwa kupeleka maji ubungo akiwa katibu mkuu wizara ya maji.
Leo anagombea Ubunge anaahidi kutuletea maji tukimchagua kuwa mbunge.
Utashangaa akili za ccm ziko wapi?!
Tatizo la UVCCM wanajadiliana kwanza kwenye magroup za whatsapp na wanapanga kuja kufungua uzi humu ili wasapotiane!
kituko cha karne ni kile kitendo cha mtu mzima kupiga magoti na kujiliza kuomba kura
Shabaaash...mpaka sikio la kenge uone damu ujue ndio byebye..hiyoo..shwainnmmmmmnny..Bora hata makelele ya uongo yapungue..ningemshauri hata Lisu aachane na campaign maana ni aibu mbele ya wananchi..asepe zake ubelgiji...Hana tija..kwa nchi..asione aibu..Membe ameshamtengeneza
Hao uliowataja waliishia wapi na vyama vyao? Au waonea wivu ndio maana nanyi mkaamua kufanya hicho?sasa
mbona unaikatiza Cheyo na Mrema je?
Si kwamba vitaenda likizo, mzee wa haki atatenda haki, haki haki haki haki, hata jiwe atapatiwa haki yake, ni haki gani mimi sijui.Kuna watu wanadhani Lissu akiwa rais mahakama, polisi na magereza vitaenda likizo.