Kwa viongozi wote wa chadema

Mar 25, 2012
38
12
Kufanikiwa kunahitaji bidii napia kunachangamoto yake,hivyo ninawaomba viongozi wote tuelekeze nguvu ktk mikoa ambayo ikonyuma kimawasiliano ilituunganishe nguvu ya uma kwapamoja.mikoa kama dodoma,katavi.tabora,singida,tukimaliza tuingie zanzibar,Nawaombeni viongozi mfanyekazi mkitazamia kulipwa na mungu ili muweze kujipambanua miongoni mwawatanzani kwakuwa sikuzote ukweli hushinda,tukiwaacha wezetu wakiongee mambo ambayo wameshindwa kuyaishi.
 
Back
Top Bottom