GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
Ni Hospitali ambazo naziheshimu sana japo najua ni za Watu fulani fulani kutokana na Umuhimu wao hapa nchini Tanzania. Sikatai kuwa Kifo huwa hakina aina ya Hospitali bali muda wa ' Israeli Mtoa Roho ' ukifika tu hata ukiwa Umelaza katika Hospitali yenye Hadhi duniani 'utaondoka' tu kwenda zako Udongoni / Mavumbini.
Hoja yangu Kubwa tu hapa ni kwamba ni kwanini Viongozi hawa ' Waandamizi ' waliowahi Kuongoza nchi yetu hii ' pendwa ' wakipelekwa tu katika hiyo Hospitali huwa kunakuwa na ' Usiri ' mkubwa na hata Watanzania hwa ' tunafichwa ' pia labda mpaka ' Vifo ' ndiyo vitokee kama hivi tunajua? Na kwanini 95% ya Watumishi wenye ' Vinasaba ' na Hospitali hiyo ya ' Siri ' jijini Dar es Salaam huwa hawapendi kwenda Kutibiwa hapo na wapo ambao wanasema ' Wanaiogopa ' ila sababu ukiwaomba hawakupi ng'o.
Kuwaweka Viongozi Waandamizi katika Hospitali za ' Siri ' huku mkituficha Watanzania pia ni sehemu ya tatizo. Hawa Viongozi ni Mali ya Watanzania siyo ya Watu fulani na kuna wengine tukisikia ni Wagonjwa huwa tunapenda kwenda Kuwaona, Kuwaombea na ikibidi hata ' Kuwatambikia ' ili wapone haraka ila mkiwaweka katika Hospitali zenu ze ' Usiri ' tunaogopa hata Kuthubutu kwenda.
Hoja yangu Kubwa tu hapa ni kwamba ni kwanini Viongozi hawa ' Waandamizi ' waliowahi Kuongoza nchi yetu hii ' pendwa ' wakipelekwa tu katika hiyo Hospitali huwa kunakuwa na ' Usiri ' mkubwa na hata Watanzania hwa ' tunafichwa ' pia labda mpaka ' Vifo ' ndiyo vitokee kama hivi tunajua? Na kwanini 95% ya Watumishi wenye ' Vinasaba ' na Hospitali hiyo ya ' Siri ' jijini Dar es Salaam huwa hawapendi kwenda Kutibiwa hapo na wapo ambao wanasema ' Wanaiogopa ' ila sababu ukiwaomba hawakupi ng'o.
Kuwaweka Viongozi Waandamizi katika Hospitali za ' Siri ' huku mkituficha Watanzania pia ni sehemu ya tatizo. Hawa Viongozi ni Mali ya Watanzania siyo ya Watu fulani na kuna wengine tukisikia ni Wagonjwa huwa tunapenda kwenda Kuwaona, Kuwaombea na ikibidi hata ' Kuwatambikia ' ili wapone haraka ila mkiwaweka katika Hospitali zenu ze ' Usiri ' tunaogopa hata Kuthubutu kwenda.