Kwa viongozi wetu: Asili ni asili tuu. Mbuga zetu, milima yetu n.k hata zikiwa zote Kilwa, bado ni mali ya Taifa. Tuviboreshe kwenye asili zake.

Ngororo Crater ni moja ya maajabu ya dunia, sehemu tambarare isiyo na mwinuko na wanyama wanaishi kwenye natural environment.

Kilimanjaro ni mlima wa pili kwa urefu duniani.

Serengeti ni mbuga yenye uoto wa asili na wingi wa wanyama wanaoishi kwenye mazingira asilia.

Mtalii akinunua ticket anapanda mlima , kuona Crater na kuona Serengeti katika safari moja.

Burigi kuna ajabu gani?
Burigi kuna ajabu la Sanamu iliyonuna ya Chifu Burigi Chato.
 
Ngororo Crater ni moja ya maajabu ya dunia, sehemu tambarare isiyo na mwinuko na wanyama wanaishi kwenye natural environment.

Kilimanjaro ni mlima wa pili kwa urefu duniani.

Serengeti ni mbuga yenye uoto wa asili na wingi wa wanyama wanaoishi kwenye mazingira asilia.

Mtalii akinunua ticket anapanda mlima , kuona Crater na kuona Serengeti katika safari moja.

Burigi kuna ajabu gani?
Sorry, nikusahihishe tu kidogo. Mlima Kilimanjaro siyo mlima mrefu wa pili duniani. Get your facts correct, pamoja na kwamba sie sote tunaipenda nchi yetu ya Tanzania.

Ila mjadala uendelee. . .
 
Sorry, nikusahihishe tu kidogo. Mlima Kilimanjaro siyo mlima mrefu wa pili duniani. Get your facts correct, pamoja na kwamba sie sote tunaipenda nchi yetu ya Tanzania.

Ila mjadala uendelee. . .
Uko sahihi.
 
Tanzania kuna mbuga nyingi tu sio Serengeti tu lakini huwezi kumpangia mtalii aliyeona documentary ya great migration eti aende mikumi au huko burigi asiende serengeti wakati yeye dream yake ni kuona hiyo adventure ya wildebeest .Ni bora asije kuliko kuzima dream yake na kumpangia pa kwenda .
Tanzania inapokea watalii wasiozidi millioni moja kwa mwaka sasa hiyo Jam mnayosema ni ipi? Hata kukiwa na Jam huwezi kumpangia mtalii pa kwenda bora kutokwenda kama sehemu iko overcrowded
 
Asbh hii, nimemsikia kiongozi mmoja anahoji, "kwa nini Watalii iwe ni Kaskazini tuu na siyo pengine? Akaendelea, mimi nataka nifungue vivutio vingi kwingine ili watalii wapungue kule Kaskazini waende na kwingine ninakotengeneza vivutio kama vya kule."
Mimi sina mtizamo wa kupinga hoja hii, ila kuna hoja nimeshindwa kuzielewa;
1. Mbuga na vivutio vingine kama Mlima Kilimanjaro viliwekwa na nani?
2. Je, watalii kuongezeka Kaskazini, na mapato kuongezeka ni manufaa kwa nani?
3. Kwa utafiti mdogo, watalii hawaendi sehemu kuona jambo moja tuu, hupendelea zaidi kuona vivutio vingi zaidi wakijua viko sehemu moja. Ukiacha mbuga za wanyama, kuna mfano mlima Kilimanjaro ambao ni kivutio kikubwa barani Afrika. Na huu unaweza kuwa ndiyo kivutio namba moja kwa Kaskazini. Hapa itakuwaje uhamisho wake?
4. Kama lengo ni kulazimisha kutawanya watalii hadi kule wasikotosheleza haja zao, ikatoea wamegairi, fidia ya mporomoko wa hayo mapato, nani awajibike?
Kiujumla, nini mashaka na matamko haya, japo nia ya Kiongozi huyu inaweza kuwa njema, ila tujadili hili.
Kwanza kakosea sana hii kauli ya "kwanini watalii wende kaskazini tu"
Hii ni kauli ya kibaguzi na inayopaswa kutolewa na watoto wadogo tu.

Pili wanatumia nguvu kubwa sana ya kujitoa akili na kutaka kuhalalisha huu mpango wao wakuiendeleza chato kwa nguvu zote bila kuzingatia mahitaji ya wananchi wengine na maslahi mapana ya taifa.

Taifa linapitia katika wakati mgumu sana wa kujaa viongozi walio na nakisi ya weledi na uzalendo.

Muda utatupa somo lakini tujiandae kupata somo lolote zuri au baya.
 
Pumbavu kabisa
1153580
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom