Kwa vijana waliojenga

kabunda88

JF-Expert Member
Nov 8, 2015
3,095
2,680
Nawasalimu ndugu zangu wana JMF ,,mimi ni kijana mwenzenu ninaplan Za kujenga nyumba yangu mwenyewe ili kuepukana na kero,usumbufu,na hata karaha za kupanga nataka na mimi kuitwa baba mwenye nyumba kama ninyi,,najua mlipitia changamoto nyingi na hata kukata tamaa lakin mlipigania mpaka mkajenga Naombeni mnipe mbinu mlizo tumia mpaka kufanikisha kumiliki mjengo wako kwa kweli ninatamani sana kujenga nyumba yangu mwenyewe Tayar hatua za kwanza kiwanja nimeshanunua sasa naanzia wapi?.na kipato na chotegemea ni mshara tu kwa mwez nalipwa kati ya laki8 mpaka laki9 tu. Naombeni mbinu mbalimbali mlizotumia mpaka kujenga nami nijenge,nawasilisha kwenu wamiliki wa nyumba.
 
Kabla ya kupata ushauri muwe mnapitia bandiko kadhaa zilizopita au hata kwa kufanya search kuona ulichoandika kipo au hakipo.
 
Nawasalimu ndugu zangu wana JMF ,,mimi ni kijana mwenzenu ninaplan Za kujenga nyumba yangu mwenyewe ili kuepukana na kero,usumbufu,na hata karaha za kupanga nataka na mimi kuitwa baba mwenye nyumba kama ninyi,,najua mlipitia changamoto nyingi na hata kukata tamaa lakin mlipigania mpaka mkajenga Naombeni mnipe mbinu mlizo tumia mpaka kufanikisha kumiliki mjengo wako kwa kweli ninatamani sana kujenga nyumba yangu mwenyewe Tayar hatua za kwanza kiwanja nimeshanunua sasa naanzia wapi?.na kipato na chotegemea ni mshara tu kwa mwez nalipwa kati ya laki8 mpaka laki9 tu. Naombeni mbinu mbalimbali mlizotumia mpaka kujenga nami nijenge,nawasilisha kwenu wamiliki wa nyumba.
Nihakikishie usalama Na ubora wa bidhaa
 
Kama hauna familia kubwa na unaona kiwango cha pesa ulichokiandaa hakiwezi kutosheleza kumaliza nyumba uliyopanga kuijenga, kulingana na ramani ya nyumba yako jenga chumba kimoja kikubwa hamia, utaendeleza vyumba vingine ukiwa kwako.

Usijenge kajumba ili baadae ukabomoe utakapo jenga nyumba unaiyoitaka, njia hii naona kama ni matumizi mabaya ya akili.

Epuka kujenga nyumba yenye vyumba vidogo, ni heri kujenga nyumba ya vyumba 3 ambayo kila chumba unaweza ukaweka vitanda viwili vyenye ukubwa wa 5*6 kuliko kujenga nyumba yenye vyumba sita vidogo hapa gharama inakuwa kubwa zaidi.
 
Wekeza kwenye biashara kwanza usitumie mshahara Kujenga ni mdogob sana hasa kama unafamilia, Mimi nilijenga nikiwa Na miaka ishilini Na mbili tu Kupitia biashara. Kama huna familia muajiliwa serikalini chukua mkopo.kama unafamilia siku shauri
 
Wekeza kwenye biashara kwanza usitumie mshahara Kujenga ni mdogob sana hasa kama unafamilia, Mimi nilijenga nikiwa Na miaka ishilini Na mbili tu Kupitia biashara. Kama huna familia muajiliwa serikalini chukua mkopo.kama unafamilia siku shauri

Sawa asante kwa ushauri huu
 
Back
Top Bottom