Kwa Vidhibiti hivi CHADEMA wamepatwa na nini?

5525

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
5,412
6,273
Maalim Seif alivyoenda kuonana na Magufuli CHADEMA walimsema sana maalim seif na kumuita msaliti na MNAFIKI wa demokrasia na wa vyama vya Upinzani Tanzania., lakini mbona Style aliyoonana Maalim Seif na Magufuli ndiyo Style ile ile ya Tundu Lissu Brussels kule Belgium aliyoomba mwenyewe kukutana na Mama?

Je, Tundu Lissu ni msaliti? ni Mnafiki? amepetikiwa na kusahau alivyokuwa akimnanga maalim Seif kukutana na Magufuli Ikulu? au tuseme ulikuwa ni wivu kwa vile wao walikuwa hawajapata ile nafasi?

CHADEMA hawa tuwajuwao ndio kweli? Hivi macho ya Watanzania na upinzani kwa ujumla yana giza kiasi gani kuona kitendo hicho hicho kinafanywa na kiongozi mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ndio kile alichoma Maalim Seif? - What a coincidence!

Naomba kutanguliza shukurani.

Maalim Seif.jpg

Tundu Lissu.jpg
 
Mie ninachofurahia zaid ni kuwa ni rahisi sana Chadema kushirikiana na CCM au ACT kushirikiana na CCM kuliko ACT na Chadema kushirkiana

Chuki ya wanachadema kwa ACT ni kubwa kuliko kwa CCM na chuki ya ACT kwa Chadema ni kubwa kuliko waliyonayo kwa CCM

Ccm wakikutana na ACT chadema wananuna na CCM wakikutana na Chadema ACT wananuna kwa kifupi kila mmoja anaona fahari kukutana na CCM
 
ungeandika jibu japo mstari mmoja kumuokoa kiongozi wako na jambo hili

Mimi sina Kiongozi Bwashee! Nilitamani tu uweke huo ushahidi wa hizo kejeli zilizo tolewa na hao Chadema kipindi hicho dhidi ya Maalim!

Maana ninacho kifahamu mimi, Maalim Seif aliheshimika na kuaminiwa, na hata sasa anaheshimika na Wapenda mabadiliko wengi nchini.

Ungesema Zitto, ningeamini. Ila siyo Maalim Seif.
 
Mie ninachofurahia zaid ni kuwa ni rahisi sana Chadema kushirikiana na CCM au ACT kushirikiana na CCM kuliko ACT na Chadema kushirkiana

Chuki ya wanachadema kwa ACT ni kubwa kuliko kwa CCM na chuki ya ACT kwa Chadema ni kubwa kuliko waliyonayo kwa CCM

Ccm wakikutana na ACT chadema wananuna na CCM wakikutana na Chadema ACT wananuna kwa kifupi kila mmoja anaona fahari kukutana na CCM
Kwa lugha nyingine hapo ni kwamba, ccm ina wake wawili.


Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Maalim Seif alivyoenda kuonana na Magufuli CHADEMA walimsema sana maalim seif na kumuita msaliti na MNAFIKI wa demokrasia na wa vyama vya Upinzani Tanzania., lakini mbona Style aliyoonana Maalim Seif na Magufuli ndiyo Style ile ile ya Tundu Lissu Brussels kule Belgium aliyoomba mwenyewe kukutana na Mama?

Je, Tundu Lissu ni msaliti? ni Mnafiki? amepetikiwa na kusahau alivyokuwa akimnanga maalim Seif kukutana na Magufuli Ikulu? au tuseme ulikuwa ni wivu kwa vile wao walikuwa hawajapata ile nafasi?

CHADEMA hawa tuwajuwao ndio kweli? Hivi macho ya Watanzania na upinzani kwa ujumla yana giza kiasi gani kuona kitendo hicho hicho kinafanywa na kiongozi mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ndio kile alichoma Maalim Seif? - What a coincidence!

Naomba kutanguliza shukurani.

View attachment 2121894
View attachment 2121896
Kwa nini hiki kitu kinawaumiza sana sana kiasi hiki?
 
Mie ninachofurahia zaid ni kuwa ni rahisi sana Chadema kushirikiana na CCM au ACT kushirikiana na CCM kuliko ACT na Chadema kushirkiana

Chuki ya wanachadema kwa ACT ni kubwa kuliko kwa CCM na chuki ya ACT kwa Chadema ni kubwa kuliko waliyonayo kwa CCM

Ccm wakikutana na ACT chadema wananuna na CCM wakikutana na Chadema ACT wananuna kwa kifupi kila mmoja anaona fahari kukutana na CCM
Lissu ashauza chadema habari kwisha kabisa, amekuwa ndumila kuwili ili apate kurudi tanzania aishi salama viongozi hawa watanganyika hawaaminiki hata kidogo
 
Mie ninachofurahia zaid ni kuwa ni rahisi sana Chadema kushirikiana na CCM au ACT kushirikiana na CCM kuliko ACT na Chadema kushirkiana

Chuki ya wanachadema kwa ACT ni kubwa kuliko kwa CCM na chuki ya ACT kwa Chadema ni kubwa kuliko waliyonayo kwa CCM

Ccm wakikutana na ACT chadema wananuna na CCM wakikutana na Chadema ACT wananuna kwa kifupi kila mmoja anaona fahari kukutana na CCM
Lissu ashauza chadema habari kwisha kabisa, amekuwa ndumila kuwili ili apate kurudi tanzania aishi salama viongozi hawa watanganyika hawaaminiki hata kidogo
 
Maalim Seif alivyoenda kuonana na Magufuli CHADEMA walimsema sana maalim seif na kumuita msaliti na MNAFIKI wa demokrasia na wa vyama vya Upinzani Tanzania., lakini mbona Style aliyoonana Maalim Seif na Magufuli ndiyo Style ile ile ya Tundu Lissu Brussels kule Belgium aliyoomba mwenyewe kukutana na Mama?

Je, Tundu Lissu ni msaliti? ni Mnafiki? amepetikiwa na kusahau alivyokuwa akimnanga maalim Seif kukutana na Magufuli Ikulu? au tuseme ulikuwa ni wivu kwa vile wao walikuwa hawajapata ile nafasi?

CHADEMA hawa tuwajuwao ndio kweli? Hivi macho ya Watanzania na upinzani kwa ujumla yana giza kiasi gani kuona kitendo hicho hicho kinafanywa na kiongozi mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ndio kile alichoma Maalim Seif? - What a coincidence!

Naomba kutanguliza shukurani.

View attachment 2121894
View attachment 2121896
Subiri Matusi tu

Wale jamaa hawako sawa kichwani
 
Back
Top Bottom