Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,368
Huu hapa ni mkutano wa kampeni za Mgombea Ubunge wa CHADEMA Mhe. Cecilia Pareso jimbo la Karatu, kwa kadri ya macho yako unadhani kuna haja ya Mgombea Urais wa CHADEMA kwenda kufanya kampeni kwenye jimbo hili?