Umesahau yule aliyeshindwa kuapa mbele ya JPM pale Dodoma?Kipapai
Inshu ya saikolojiZambia hii wajameni
we unajiona upo OK?Hamna uchawi hapo
Hali kama hiyo imewahi kunikuta kwa mara ya kwanza nilisimama mbele ya watu wengi kabisa wa heshima na kuwa kimya kunisikiliza nnachoongea nilishindwa kusema kitu zaidi ya kuishiwa nguvu kwa uoga
nilianza kuwaona mashujaa wale wanaojiamini mbele ya kadamnasi na hapo nilianza ku Google jinsi ya kupata ujasiri wa kuongea mbele ya watu kwa kuwaza siku moja ntaaibika zaidi
Hata Rais samia aliwahi kusema juu ya kuongea mbele ya watu kwa kujiamini na kuhusu kusoma proposal alizoandikiwa na watu smart lakini wasiyoweza kuziwasilisha mbele ya kadamnasi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
DahZambia hii wajameni
Kuwa nimelogwa au siko sawa kisaikolojia?we unajiona upo OK?
Video mbona sioni? Au ndio hii..Zambia hii wajameni
Jamaa na elimu yake alishindwa kusoma aise.Umesahau yule aliyeshindwa kuapa mbele ya JPM pale Dodoma?