NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,225
- 16,650
Droo ya 3-3 dhidi ya Brentford na 2-2 dhidi ya Brighton umehitimisha juhudi zao kuelekea ubingwa wa epl msimu huu!Liverpool wasahau kabisa kwa uzembe waliuonyesha!!
Chelsea ni timu iliyokamilika kwa kila idara!Nawakabidhi ndoo yao!!
Man utd wana mabosi mabogasi kabisa hivi Ole anafanya nini pale?hadi mnamwacha Conte anaenda spurs?
Man city msimu huu siwapi nafasi ya ubingwa wa epl wana tatizo la mentality!!
Klopp ajikite kwenye Uefa labda atabeba lakini kuna Bavarians wako fiti kinoma noma!!
Mentality monsters wamekua the opposite!!
Chelsea ni timu iliyokamilika kwa kila idara!Nawakabidhi ndoo yao!!
Man utd wana mabosi mabogasi kabisa hivi Ole anafanya nini pale?hadi mnamwacha Conte anaenda spurs?
Man city msimu huu siwapi nafasi ya ubingwa wa epl wana tatizo la mentality!!
Klopp ajikite kwenye Uefa labda atabeba lakini kuna Bavarians wako fiti kinoma noma!!
Mentality monsters wamekua the opposite!!