sajosojo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 1,017
- 619
Leo nilikuwa na route za sehemu mbalimbali hapa down town yaani Dar es Salaam, nimeona majengo mengi yakijengwa chini ya kiwango na mamlaka husika zipo zinawaangalia tu, mfano kuna jengo moja pale Magomeni Mikumi yaani limelala kama kinadondoka na kuna jengo lingine liko kama unaenda Coca-Cola karibu na office za CRB kabisa nalo liko ovyo ovyo...