GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,409
- 108,516
Hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nakipenda kwa Mwanamke na pia huwa natamani awe nacho kama Uwezo mkubwa wa Akili, Kuchambua Masuala ( Issues ) tena 'Professionally' kabisa na awe na Kiwango kikubwa cha 'Confidence' hasa akiwa anazungumza au anawasilisha Jambo ( Kitu ) katika Hadhira ( Public )
Kama kuna Waziri ambaye kwa sasa nikisikia tu anazungumza ( hasa Runingani ) achilia mbali katika Redio huwa napenda Kuacha ninachokifanya kwa wakati huo na Kumsikiliza tena huku Moyo wangu ukiwa Unasuuzika na Kushiba Madini yake ya Kiufafanuzi basi ni Waziri wa Afya Gwajima.
Nichukue tu nafasi hii adhimu Kumpongeza Mumewe kwa Kumwambia kuwa Hongera zake kwa kumpata Mke ambaye ni Intelligent naturally, Educated and Orator kama Waziri wa Afya Gwajima na hakka Mumuewe popote alipo anapaswa ajivunie kabisa.
Kwa sasa kwakuwa nahitaji kupata Mwanamke mwenye Sifa kama alizonazo Waziri wa Afya Gwajima awe 'Mamsampu' wangu ngoja nianze Utaratibu wa Kutembelea Mkoa na Kijiji anachotoka Waziri Gwajima kwani huenda nami nikabahatisha kupata 'Masalia' ya Wanawake 'Werevu' kama Waziti Gwajima baada ya Kuwatafuta mno bila Mafanikio hapa Juliana, Afrika Sana, Beach Kidimbwi, Brazil Pub Tegeta, Kwa Mpalange, Jackie's Pub Oysterbay, Kimboka Buguruni na pale Kahumba Morogoro.
Ukiwa na Mke kama Waziri wa Afya Gwajima ni raha tupu kwani kama Mume utakuwa huna Wasiwasi wa Kuzaa Watoto 'Intelligent' kama Mama yao japo kwa Kiasi fulani hata Wewe Mume ( Baba yao ) pia unatakiwa usiwe ama Ngumbaru ( Mjinga ) au Popoma ( Mpumbavu ) kwani utaharibu kabisa 'Chemistry' ya Kizazi chako ( Watoto )
Heko nyingi sana Kwako Waziri Gwajima.
Kama kuna Waziri ambaye kwa sasa nikisikia tu anazungumza ( hasa Runingani ) achilia mbali katika Redio huwa napenda Kuacha ninachokifanya kwa wakati huo na Kumsikiliza tena huku Moyo wangu ukiwa Unasuuzika na Kushiba Madini yake ya Kiufafanuzi basi ni Waziri wa Afya Gwajima.
Nichukue tu nafasi hii adhimu Kumpongeza Mumewe kwa Kumwambia kuwa Hongera zake kwa kumpata Mke ambaye ni Intelligent naturally, Educated and Orator kama Waziri wa Afya Gwajima na hakka Mumuewe popote alipo anapaswa ajivunie kabisa.
Kwa sasa kwakuwa nahitaji kupata Mwanamke mwenye Sifa kama alizonazo Waziri wa Afya Gwajima awe 'Mamsampu' wangu ngoja nianze Utaratibu wa Kutembelea Mkoa na Kijiji anachotoka Waziri Gwajima kwani huenda nami nikabahatisha kupata 'Masalia' ya Wanawake 'Werevu' kama Waziti Gwajima baada ya Kuwatafuta mno bila Mafanikio hapa Juliana, Afrika Sana, Beach Kidimbwi, Brazil Pub Tegeta, Kwa Mpalange, Jackie's Pub Oysterbay, Kimboka Buguruni na pale Kahumba Morogoro.
Ukiwa na Mke kama Waziri wa Afya Gwajima ni raha tupu kwani kama Mume utakuwa huna Wasiwasi wa Kuzaa Watoto 'Intelligent' kama Mama yao japo kwa Kiasi fulani hata Wewe Mume ( Baba yao ) pia unatakiwa usiwe ama Ngumbaru ( Mjinga ) au Popoma ( Mpumbavu ) kwani utaharibu kabisa 'Chemistry' ya Kizazi chako ( Watoto )
Heko nyingi sana Kwako Waziri Gwajima.