Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Labda wengine mnajua, ila binafsi tunashindwa kuelewa nchi inaelekea wapi. To be honest, licha ya mapungufu yake kama Rais JPM nchi ilikuwa na direction. JPM alifanikiwa kuweka direction ya nchi ikiwa ni pamoja na mkazo katika sector kadhaa ambazo alizisimamia ipasavyo.
Ila sasa sijui nchi inaenda na kuelekea wapi. No direction, miezi 4 nchi imesimama, hatujui direction ni ipi. Viongozi wasaidizi wa Rais nao wapo wapo, hawamshauri Rais vizuri. Naona kama viongozi washakata tamaa, hawajui waanzie wapi na kushia wapi.
JPM alisema atakumbukwa. Kwa kweli wananchi wanamkumbuka sana. Kila angle saizi ni tozo tu. Leo limekuja lingine la kupiga mziki utalimwa tozo, wenye gym utakimwa tozo. Kila angle saizi ni tozo. Namfiki washauri wanashindwa kumshauri vyema Rais.
Anyway. Ukweli ni kwamba JPM angeiacha Tanzania 2025 sehwmu bora zaidi kuliko namna tunavyoenda sasa ambapo hatujui hata uelekeo.
Kwa mantiki hiyo, akiwa na busara Mama 2025 angestafu iwe ni heshima ya kutupitisha katika mpito. But kwenye perfomance is Zero compared na mtangulizi wake
Ila sasa sijui nchi inaenda na kuelekea wapi. No direction, miezi 4 nchi imesimama, hatujui direction ni ipi. Viongozi wasaidizi wa Rais nao wapo wapo, hawamshauri Rais vizuri. Naona kama viongozi washakata tamaa, hawajui waanzie wapi na kushia wapi.
JPM alisema atakumbukwa. Kwa kweli wananchi wanamkumbuka sana. Kila angle saizi ni tozo tu. Leo limekuja lingine la kupiga mziki utalimwa tozo, wenye gym utakimwa tozo. Kila angle saizi ni tozo. Namfiki washauri wanashindwa kumshauri vyema Rais.
Anyway. Ukweli ni kwamba JPM angeiacha Tanzania 2025 sehwmu bora zaidi kuliko namna tunavyoenda sasa ambapo hatujui hata uelekeo.
Kwa mantiki hiyo, akiwa na busara Mama 2025 angestafu iwe ni heshima ya kutupitisha katika mpito. But kwenye perfomance is Zero compared na mtangulizi wake