Kwa Utawala huu wa Spika Ndugai, Bunge linazidi kupoteza mwelekeo

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Aug 14, 2012
6,697
9,048
Moja kwa moja kwene hoja.

Kile kinachoendelea Bungeni kwa sasa baada ya kifo cha Hayati Magufuli ni aibu tupu. Utawala(siyo Uongozi) wa Spika Ndugai unazidi kuliaibisha na kushusha hadhi ya Bunge la JMT. Nitaeleza:
  1. Kile ambacho Watz walikuwa wanakiona wakti wa uhai wa Hayati kwamba alikuwa ana limiliki Bunge kuanzia Spika, PM, Mawaziri na Wabunge sasa kinaonekana wazi. Bunge likixoea kupokea maelekezo toka kwa Hyaati Magufuli kupitia kwa Spika Ndugai hivo halikuwa na maamuzi yoyote(rubber stamp).
  2. Kikao kinachoendelea pale Dodoma kwa sasa hakuna uongozi wowote pale zaidi ya kuonekana limejaa maigizo na viroja badala ya hoja.Ndugai anaoonesha alishasahau hata namna ya kusimamia misingi, kanuni na taratibu za Bunge.
  3. Spika anadiriki kuwaruhusu Mbunge/Wabunge wa CCM KUWASHAMBULIA WENZAO WENYE MAWAZO AU MAONI TOFAUTI NA MAMBO MENGI YALIYOFANYIKA WAKTI WA KIPINDI CHA HAYATI! Tumesikia Wabunge Darasa la 7 kina Lusinde na Msukuma wakiwatukana Wabunge wasomi kiwango cha Doctors na Professors kuwa hawajui lolote na Spika Ndugai anashangilia mpaka anawapa muda wa bonasi. Hii ni aibu.
  4. Kwa sasa hakuna Wabunge rasmi wa Kambi ya Upinzani wanaounda KUB walkokuwa machachari sana. Hivo muda mwingi hawa Class 7 kazi yao ilikuwa kutukana Wanunge wa Upinzani kuzima hoja zao. Leo Wapinzani hawapo Ndugai ameelekeza hao Class 7 kutukana na kushambulia Wabunge wene maoni na mtazamo tofauti. Kauli ya Januari Makamba Bungeni jana imedhihirisha hilo!
  5. Spika Ndugai kwa maksudi na bila aibu AMERUHUSU BUNGE LETU KUTAWALIWA NA HOJA ZA WATU DARASA LA SABA. Kwamba badala ya Bunge kuongozwa au kutawaliwa na Hoja za Wasomi wetu walosomeshwa kwa gharama kubwa na fedha ya walipa KODI wa nji hii Bunge linaongozwa na HOJA ZA DARASA LA 7 failures....!!! What a shame is this?
  6. Ile hoja ya CHADEMA iliyowahi kutamkwa mbele ya Bunge na Mhe. Msigwa aliyekuwa Mbunge wa Iringa mjini sasa iko dhahiri!!! Kwamba TATIZO LA NCHI YETU TANZANIA TUMERUHUSU AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA. Ndicho kinacho endelea ndani ya Bunge letu. Ndugai nz Bunge lake Wamekubali Akili za Darasa la 7 zaongoza akili za kiwango cha Madaktari na Bunge lote linashangilia!!!
  7. Hii hali isipobadilishwa basi tunakwenda kutumbukia na kuzama shimoni na hakuna atakaye tukwamua!! Sishangai kumsikia aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali Prof. Assad kudai kuwa UWEZO WA WATUMISHI WENGI WA SERIKALI HAWANA UWEZO about 60 wako chini ya Viwango na kidogo kama 40% ndio angalau ndo wanajaribujaribu.
Very likely nji hii iko hivi ilivo leo kwa upuuzi kama huu wa Watawala wa CCM.
 
Moja kwa moja kwene hoja.

Kile kinachoendelea Bungeni kwa sasa baada ya kifo cha Hayati Magufuli ni aibu tupu. Utawala(siyo Uongozi) wa Spika Ndugai unazidi kuliaibisha na kushusha hadhi ya Bunge la JMT. Nitaeleza:
  1. Kile ambacho Watz walikuwa wanakiona wakti wa uhai wa Hayati kwamba alikuwa ana limiliki Bunge kuanzia Spika, PM, Mawaziri na Wabunge sasa kinaonekana wazi. Bunge likixoea kupokea maelekezo toka kwa Hyaati Magufuli kupitia kwa Spika Ndugai hivo halikuwa na maamuzi yoyote(rubber stamp).
  2. Kikao kinachoendelea pale Dodoma kwa sasa hakuna uongozi wowote pale zaidi ya kuonekana limejaa maigizo na viroja badala ya hoja.Ndugai anaoonesha alishasahau hata namna ya kusimamia misingi, kanuni na taratibu za Bunge.
  3. Spika anadiriki kuwaruhusu Mbunge/Wabunge wa CCM KUWASHAMBULIA WENZAO WENYE MAWAZO AU MAONI TOFAUTI NA MAMBO MENGI YALIYOFANYIKA WAKTI WA KIPINDI CHA HAYATI! Tumesikia Wabunge Darasa la 7 kina Lusinde na Msukuma wakiwatukana Wabunge wasomi kiwango cha Doctors na Professors kuwa hawajui lolote na Spika Ndugai anashangilia mpaka anawapa muda wa bonasi. Hii ni aibu.
  4. Kwa sasa hakuna Wabunge rasmi wa Kambi ya Upinzani wanaounda KUB walkokuwa machachari sana. Hivo muda mwingi hawa Class 7 kazi yao ilikuwa kutukana Wanunge wa Upinzani kuzima hoja zao. Leo Wapinzani hawapo Ndugai ameelekeza hao Class 7 kutukana na kushambulia Wabunge wene maoni na mtazamo tofauti. Kauli ya Januari Makamba Bungeni jana imedhihirisha hilo!
  5. Spika Ndugai kwa maksudi na bila aibu AMERUHUSU BUNGE LETU KUTAWALIWA NA HOJA ZA WATU DARASA LA SABA. Kwamba badala ya Bunge kuongozwa au kutawaliwa na Hoja za Wasomi wetu walosomeshwa kwa gharama kubwa na fedha ya walipa KODI wa nji hii Bunge linaongozwa na HOJA ZA DARASA LA 7 failures....!!! What a shame is this?
  6. Ile hoja ya CHADEMA iliyowahi kutamkwa mbele ya Bunge na Mhe. Msigwa aliyekuwa Mbunge wa Iringa mjini sasa iko dhahiri!!! Kwamba TATIZO LA NCHI YETU TANZANIA TUMERUHUSU AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA. Ndicho kinacho endelea ndani ya Bunge letu. Ndugai nz Bunge lake Wamekubali Akili za Darasa la 7 zaongoza akili za kiwango cha Madaktari na Bunge lote linashangilia!!!
  7. Hii hali isipobadilishwa basi tunakwenda kutumbukia na kuzama shimoni na hakuna atakaye tukwamua!! Sishangai kumsikia aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali Prof. Assad kudai kuwa UWEZO WA WATUMISHI WENGI WA SERIKALI HAWANA UWEZO about 60 wako chini ya Viwango na kidogo kama 40% ndio angalau ndo wanajaribujaribu.
Very likely nji hii iko hivi ilivo leo kwa upuuzi kama huu wa Watawala wa CCM.
Ndugai ndiye spika hovyo kabisa kuliko maspika wote katika historia ya nchi yetu.
 
Moja kwa moja kwene hoja.

Kile kinachoendelea Bungeni kwa sasa baada ya kifo cha Hayati Magufuli ni aibu tupu. Utawala(siyo Uongozi) wa Spika Ndugai unazidi kuliaibisha na kushusha hadhi ya Bunge la JMT. Nitaeleza:
  1. Kile ambacho Watz walikuwa wanakiona wakti wa uhai wa Hayati kwamba alikuwa ana limiliki Bunge kuanzia Spika, PM, Mawaziri na Wabunge sasa kinaonekana wazi. Bunge likixoea kupokea maelekezo toka kwa Hyaati Magufuli kupitia kwa Spika Ndugai hivo halikuwa na maamuzi yoyote(rubber stamp).
  2. Kikao kinachoendelea pale Dodoma kwa sasa hakuna uongozi wowote pale zaidi ya kuonekana limejaa maigizo na viroja badala ya hoja.Ndugai anaoonesha alishasahau hata namna ya kusimamia misingi, kanuni na taratibu za Bunge.
  3. Spika anadiriki kuwaruhusu Mbunge/Wabunge wa CCM KUWASHAMBULIA WENZAO WENYE MAWAZO AU MAONI TOFAUTI NA MAMBO MENGI YALIYOFANYIKA WAKTI WA KIPINDI CHA HAYATI! Tumesikia Wabunge Darasa la 7 kina Lusinde na Msukuma wakiwatukana Wabunge wasomi kiwango cha Doctors na Professors kuwa hawajui lolote na Spika Ndugai anashangilia mpaka anawapa muda wa bonasi. Hii ni aibu.
  4. Kwa sasa hakuna Wabunge rasmi wa Kambi ya Upinzani wanaounda KUB walkokuwa machachari sana. Hivo muda mwingi hawa Class 7 kazi yao ilikuwa kutukana Wanunge wa Upinzani kuzima hoja zao. Leo Wapinzani hawapo Ndugai ameelekeza hao Class 7 kutukana na kushambulia Wabunge wene maoni na mtazamo tofauti. Kauli ya Januari Makamba Bungeni jana imedhihirisha hilo!
  5. Spika Ndugai kwa maksudi na bila aibu AMERUHUSU BUNGE LETU KUTAWALIWA NA HOJA ZA WATU DARASA LA SABA. Kwamba badala ya Bunge kuongozwa au kutawaliwa na Hoja za Wasomi wetu walosomeshwa kwa gharama kubwa na fedha ya walipa KODI wa nji hii Bunge linaongozwa na HOJA ZA DARASA LA 7 failures....!!! What a shame is this?
  6. Ile hoja ya CHADEMA iliyowahi kutamkwa mbele ya Bunge na Mhe. Msigwa aliyekuwa Mbunge wa Iringa mjini sasa iko dhahiri!!! Kwamba TATIZO LA NCHI YETU TANZANIA TUMERUHUSU AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA. Ndicho kinacho endelea ndani ya Bunge letu. Ndugai nz Bunge lake Wamekubali Akili za Darasa la 7 zaongoza akili za kiwango cha Madaktari na Bunge lote linashangilia!!!
  7. Hii hali isipobadilishwa basi tunakwenda kutumbukia na kuzama shimoni na hakuna atakaye tukwamua!! Sishangai kumsikia aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali Prof. Assad kudai kuwa UWEZO WA WATUMISHI WENGI WA SERIKALI HAWANA UWEZO about 60 wako chini ya Viwango na kidogo kama 40% ndio angalau ndo wanajaribujaribu.
Very likely nji hii iko hivi ilivo leo kwa upuuzi kama huu wa Watawala wa CCM.
Nimecheka Sana hii ulivyosema

Yaani kazi ya wabunge darasa la 7 ni kuponda wapinzani! na sasa wapinzani hawapo wanaona ili watendee haki uwakilishi wao wameamua kuponda, kupinga na kutukana hoja za wasomi wabunge ambao ni CCM wenzao, na spika anawaongezea mda! Kweli bunge limekua Comedy

Aisee!
 
Ndugai ndiye spika hovyo kabisa kuliko maspika wote katika historia ya nchi yetu.

Ma Speakers wa Bunge la JMT waliowahi kuongoza vzr ni Bi. Anne Makinda, Hayati Sam Sitta(SSS), Pius Msekwa, Adam Sappi Mkwawa, na Erasto Mang'enya!

Lakini huyo Matonya anatia aibu sana. Pengine kwa vile katokea kwenye Taaluma ya Wanyama Pori ndo maana Bunge lote anaona kama Wanyama na siyo Watu.
You can't treat Members of Parliament like animals 'cause they're human beings!!!
Ushauri: BUNGE LITUMIE KIFUNGU CHA KUPIGA KURA YA KUTOKUA NA IMANI NA SPIKA!!!
 
Hii nchi kuja kuendelea tutasubiri sana, Haiwezekani kabisa kiongozi wa mhimili mkubwa na muhimu kama bunge anasimama mbele ya bunge anajinasibu kuwa anamiliki cheti cha Milembe bado anaendelea kuwa kiongozi wa bunge. Ndiyo maana bunge linakosa ajenda ya msingi

Nasikia kipindi cha Kampeni za Uchaguzi mwaka 2015 kidogo aingie kwene 'murder case" baada ya kushusha kipigo kwa mpinzani wake.....!!! Lakini bado CCM WALIMWONA NI LULU!!
 
Nimecheka Sana hii ulivyosema

Yaani kazi ya wabunge darasa la 7 ni kuponda wapinzani! na sasa wapinzani hawapo wanaona ili watendee haki uwakilishi wao wameamua kuponda, kupinga na kutukana hoja za wasomi wabunge ambao ni CCM wenzao, na spika anawaongezea mda! Kweli bunge limekua Comedy

Aisee!

Hapo ndipo Watz wanatakiwa kufungua macho....!! Hatuna Bunge zaidi ya kijiwe cha Gahawa, Vijembe na kusubiri Posho!!! Ni aibu kuwa Mbunge katika Bunge la JMT😭
 
Hapo ndipo Watz wanatakiwa kufungua macho....!! Hatuna Bunge zaidi ya kijiwe cha Gahawa, Vijembe na kusubiri Posho!!! Ni aibu kuwa Mbunge katika Bunge la JMT
Tatizo hakuna kambi rasmi ya upinzani.

Kilicho baki wanaona kupigana vijembe wenyewe Kati ya wasomi na darasa la 7
JamiiForums2065843648.jpg
 
Nimecheka Sana hii ulivyosema

Yaani kazi ya wabunge darasa la 7 ni kuponda wapinzani! na sasa wapinzani hawapo wanaona ili watendee haki uwakilishi wao wameamua kuponda, kupinga na kutukana hoja za wasomi wabunge ambao ni CCM wenzao, na spika anawaongezea mda! Kweli bunge limekua Comedy

Aisee!
Bunge halina tena cha kujadili zaidi ya upumbavu.

Wabunge wa upinzani walikuwa wanalipa uhai bunge kwa kuzungumza hoja za kitaifa.

Sasa hivi wamebaki wapumbavu watupu toka lini kikao cha wapumbavu kikawa na mijadala ya maana zaidi ya show ya upumbavu wao.
 
Tatizo hakuna kambi rasmi ya upinzani.

Kilicho baki wanaona kupigana vijembe wenyewe Kati ya wasomi na darasa la 7View attachment 1753908

Huwa najiuliza kila siku : HAWA WABUNGE WA CCM HUWA WANATUMWA NA WAPIGA KURA WAO KWENDA KUPIGA VIJEMBE NA KUSHAMBULIA WAPINZANI BADALA YA KUONGELEA CHANGAMOTO ZILIZOKO MAJIMBONI KWAO?
Mbunge CCM anasimama mwanzo mwisho ni kuwatukana kina Mbowe, Tundu Lissu, Godbless Lema, Zitto Kabwe etc dakika zote 10 mpaka kengele inapogonga anaambiwa akae muda umeisha na anamaliza kwa, "NAUNGA MKONO HOJA" Pambaaf!
 
Tatizo hakuna kambi rasmi ya upinzani.

Kilicho baki wanaona kupigana vijembe wenyewe Kati ya wasomi na darasa la 7View attachment 1753908

Wazungu wana kamsemo kanafurahisha:
"Foolish mind discuss people but Intelligent mind discuss issues"
Na pengine ndo maana kina Kibajaj na Msukuma Class 7 wanajiona wako sawa tu na Wabunge wenzao Wasomi(CCM) because they're all a bunch of Fools!
 
Tatizo hakuna kambi rasmi ya upinzani.

Kilicho baki wanaona kupigana vijembe wenyewe Kati ya wasomi na darasa la 7View attachment 1753908

Bunge limekosa hadhi ya Kibunge!!
Ukifikiria na hizo mbinu chafu za Ndugai zilizo tumika kuwaingiza hao Covid-19 Bungeni kwa mlango wa nyuma ni dhahiri HATUNA BUNGE TENA TANZANIA!
 
Hii nchi kuja kuendelea tutasubiri sana, Haiwezekani kabisa kiongozi wa mhimili mkubwa na muhimu kama bunge anasimama mbele ya bunge anajinasibu kuwa anamiliki cheti cha Milembe bado anaendelea kuwa kiongozi wa bunge. Ndiyo maana bunge linakosa ajenda ya msingi
 
Hii nchi kuja kuendelea tutasubiri sana, Haiwezekani kabisa kiongozi wa mhimili mkubwa na muhimu kama bunge anasimama mbele ya bunge anajinasibu kuwa anamiliki cheti cha Milembe bado anaendelea kuwa kiongozi wa bunge. Ndiyo maana bunge linakosa ajenda ya msingi

download.jpeg

Huu ni ukweli mchungu kwa kile wanachokiona majirani zetu kuhusu Utawala wetu kiujumla kuanzia Serikali mpaka Bunge la Ndugai.
Ni aibu kubwa sana!
 
Ndugai ndiye spika hovyo kabisa kuliko maspika wote katika historia ya nchi yetu.
Kwani Ndugai ni spika au ni mwenyekiti wa kamati fulani y Ccm? Tangu bunge limeanza umeona mchango gani wa maana zaidi ya kumzungumzia mwenda zake?
 
Moja kwa moja kwene hoja.

Kile kinachoendelea Bungeni kwa sasa baada ya kifo cha Hayati Magufuli ni aibu tupu. Utawala(siyo Uongozi) wa Spika Ndugai unazidi kuliaibisha na kushusha hadhi ya Bunge la JMT. Nitaeleza:
  1. Kile ambacho Watz walikuwa wanakiona wakti wa uhai wa Hayati kwamba alikuwa ana limiliki Bunge kuanzia Spika, PM, Mawaziri na Wabunge sasa kinaonekana wazi. Bunge likixoea kupokea maelekezo toka kwa Hyaati Magufuli kupitia kwa Spika Ndugai hivo halikuwa na maamuzi yoyote(rubber stamp).
  2. Kikao kinachoendelea pale Dodoma kwa sasa hakuna uongozi wowote pale zaidi ya kuonekana limejaa maigizo na viroja badala ya hoja.Ndugai anaoonesha alishasahau hata namna ya kusimamia misingi, kanuni na taratibu za Bunge.
  3. Spika anadiriki kuwaruhusu Mbunge/Wabunge wa CCM KUWASHAMBULIA WENZAO WENYE MAWAZO AU MAONI TOFAUTI NA MAMBO MENGI YALIYOFANYIKA WAKTI WA KIPINDI CHA HAYATI! Tumesikia Wabunge Darasa la 7 kina Lusinde na Msukuma wakiwatukana Wabunge wasomi kiwango cha Doctors na Professors kuwa hawajui lolote na Spika Ndugai anashangilia mpaka anawapa muda wa bonasi. Hii ni aibu.
  4. Kwa sasa hakuna Wabunge rasmi wa Kambi ya Upinzani wanaounda KUB walkokuwa machachari sana. Hivo muda mwingi hawa Class 7 kazi yao ilikuwa kutukana Wanunge wa Upinzani kuzima hoja zao. Leo Wapinzani hawapo Ndugai ameelekeza hao Class 7 kutukana na kushambulia Wabunge wene maoni na mtazamo tofauti. Kauli ya Januari Makamba Bungeni jana imedhihirisha hilo!
  5. Spika Ndugai kwa maksudi na bila aibu AMERUHUSU BUNGE LETU KUTAWALIWA NA HOJA ZA WATU DARASA LA SABA. Kwamba badala ya Bunge kuongozwa au kutawaliwa na Hoja za Wasomi wetu walosomeshwa kwa gharama kubwa na fedha ya walipa KODI wa nji hii Bunge linaongozwa na HOJA ZA DARASA LA 7 failures....!!! What a shame is this?
  6. Ile hoja ya CHADEMA iliyowahi kutamkwa mbele ya Bunge na Mhe. Msigwa aliyekuwa Mbunge wa Iringa mjini sasa iko dhahiri!!! Kwamba TATIZO LA NCHI YETU TANZANIA TUMERUHUSU AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA. Ndicho kinacho endelea ndani ya Bunge letu. Ndugai nz Bunge lake Wamekubali Akili za Darasa la 7 zaongoza akili za kiwango cha Madaktari na Bunge lote linashangilia!!!
  7. Hii hali isipobadilishwa basi tunakwenda kutumbukia na kuzama shimoni na hakuna atakaye tukwamua!! Sishangai kumsikia aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali Prof. Assad kudai kuwa UWEZO WA WATUMISHI WENGI WA SERIKALI HAWANA UWEZO about 60 wako chini ya Viwango na kidogo kama 40% ndio angalau ndo wanajaribujaribu.
Very likely nji hii iko hivi ilivo leo kwa upuuzi kama huu wa Watawala wa CCM.
Nachoelewa pale hakuna wabunge bali ni kikundi cha watu wenye kutafuta fedha kwa ajili ya maendeleo yao binafsi tu.
Hata uyo supika nae ndio shida
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom