Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Siri ya kuwapata Wabunge CCM kupitia kura za maoni :
Ilizoeleka kwamba , wagongea nafasi za Ubunge huanza kuchujwa ngazi ya Wilaya then Mkoa na mwishowe Taifa ( Halmashauri Kuu na Kamati Kuu )!
Sasa nimetonywa kwamba inakuwa kinyume chake.
Kukatana kunaanzia juu halafu chini vikao vinabariki tu na wananchi kupiga kura za maoni.
Nape atapona kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilizoeleka kwamba , wagongea nafasi za Ubunge huanza kuchujwa ngazi ya Wilaya then Mkoa na mwishowe Taifa ( Halmashauri Kuu na Kamati Kuu )!
Sasa nimetonywa kwamba inakuwa kinyume chake.
Kukatana kunaanzia juu halafu chini vikao vinabariki tu na wananchi kupiga kura za maoni.
Nape atapona kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app